Atleast kuna watu ambao wanafikiri bila kuweka siasa mbele kama wewe mkuu.
Economically nchi yoyote ile duniani inaendeshwa kwa uwekezaji na biashara, sasa kama ikitokea wafanyabiashara wameondoa biashara zao hapa nchini hayo mapato na ushuru vitatoka wapi!?
Naomba ieleweke hapa kuwa ninaongelea...
So far katika swali kuna condition hii 'tennis or movie'. Kwa hiyo opportunity cost ni moja kati ya hivyo vitu viwili hapo juu. Ukiangalia mwisho wa swali anasema 'tennis and movie' ndo opportunity cost.
Therefore that analysis is not correct based on the principles surrounding the concept of...
I ain't trying to be a teacher here, I wanted her to realise a honest mistake she has made...
I can't blame you. Go back to your english teacher and try to think about the words before you post something else thats gonna embarass you...
Ndo anarekebishwa hivyo...
Kwenye email huwa kuna folders tofauti, hizo email za nacte mara nyingi huwa haziingii direct kwenye inbox so mwambie aangalie folder linaitwa spam.
Hapo lazima ataikuta kama kweli aliapply..
NB: Email zote kutoka nacte zinaingia humo.....
Usilete thread zisizo na msingi humu. Kwanza source ya hii habari ni nini na ni kiongozi gani wa hilo shirikisho alietoa hilo tamko?
Kuna watu wazima humu, na hawapelekwi kwa maneno matupu.
NB: Hilo bango mtu yeyote anaweza kutengeneza so halina tija yoyote hapo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.