Search results

  1. C

    Hivi munampigia nani?

    Kutoa ni moyo,wala usipime fadhila,Ukimpa mwenzio kile unchodhani ni sahihi usitegemee fadhila, chakununua  lazima upate bidhaa yake. Upendo ni zaidi ya vile unavyofikilia.
  2. C

    Hivi munampigia nani?

    Kutoa ni moyo,wala usipime fadhila,Ukimpa mwenzio kile unchodhani ni sahihi usitegemee fadhila, chakununua lazima upate bidhaa yake. Upendo ni zaidi ya vile unavyofikilia.
  3. C

    Money talks and justice walks

    Mwenye feza si mwenzio, Mwizi wa kuku, wadokozi na vibaka, hupata Mvua nyingi sana, Mafisadi,wezi wa maliya umma , hupeta tu mitaani na kulundwa sana, Ulimwengu wetu hakuna haki bila Usawa, Mwenye nacho ndiomwenye haki tuu ndio yanayotendeka hapa TZ. " ZOMBE case "nk,nk.
  4. C

    Kaptula Haisemi uongo

    Utu wa mtu utajionyesha kwa vitendo vyake, Ukivaa ngozi ya Kondoo huku we ni chui ipo siku vitendo tu vita kuonyesha wewe ni mtu wa aina gani. Hapo ndivyopicha hiyo inavyo waeleza hao watu.
  5. C

    Kumbe Igunga shwari hivi...

    IGUNGA kipindi cha miaka 50 iliyopita ndio hiyo je itabadilika sasa miaka hii 4, ama wajinga ndio waliwao, Mtoto akichezea wembe mpe, wamepewa , wenyewe hao JIJINI , vilio na kuomba misaada ingojeni, vinginevyo,AMKENI wakati wenu huu. Ahadi kemkem mmepewa Budgeti ipi wakati TANZGIZA inaongezewa...
  6. C

    Tazama hii Picha Ipe neno!!!

    MHE.. Tendwa ni CCM Mkereketwa, Unatarajia nini, Kama Dola inatumika kisiasa na yeye yupoyupo tu, hiyo sheria anayoisimamia ina haki ndani yake . haiwezekani . Chambua yaliyotokea IGUNGA ,pima maneno yake ndipo utaelewa usemi ," nani tamfunga paka kengele'. Nadhani CCM inatumia Ujinga na...
  7. C

    Hii ni adhabu? Au life goes on.

    Huo ni Uhalisia zaidi , maisha ndivyo yalivyo. Tulioondokana na adha hiyo tujenge misingi ya kujali wengine hii ni hapo kenya. Soma picha. Enzi ya ujima bado ipo miongoni mwa AFRICA. nashauri tuzibuke kuona mwanga mbele.
  8. C

    Google Maps top images all the time....

    Ulimwengu unatuonyesha maajabu asilia, na yalitengenezwa na bin -Adam Goegle safi sana hiyo tuletee nyingine nyingi tuwazuke na kulimika.
  9. C

    Hatimae amepata MKE !!!!!

    Hapo juu kuna picha mbili zilizoshikanishwa kuwa pamoja, lakini ujmbe wenyewe ni kujua kama upendo kwa wawili wa aina hiyo inawezekana, jibu unalo utakapo fumbua macho. white is never black, nor black will never be white, though love is blind.
  10. C

    Ooohh!!! La La La!

    Hapo huruma imepitiliza . lakini mengine tumuombe mola tu
  11. C

    Expiry date ya wanawake!!!

    Resach ya CHOKA mbay ya mwanamke ni pale tu matiti yanapokuwa yamelala, hata aweje yakilala yamelala tu, afanye plastic surgery bado yatalalatu. hicho ni kipimo tosha kinachoonekana. vinginevyo ajaribu U Miss kama ataweza. atapigwa puuuuuuu.
  12. C

    Ndoa sio fasheni..

    Walaahi safi sana ujumbe huu.....UBARIKIWE
  13. C

    Chandarua kipya

    Tanzania hatuna hata mtaalamu mmoja wala uwezo wa kupima PLUTONIUM RAYS, na wasiwasi na vyandalua hihi eti msaada wa bure , jamani mbona hatuchunguzi kabla hadi yatufike. ooooo nilisahau kumbe hapa kwetu TZ ni dambpo la kutupia misaada kam hiyo. ANGALIENI sana
  14. C

    nyumba za wageni sinza zimejaa!!

    Unajua Tanzagiza imelaniwa kwa Ufuska, mambo mengi hayasongi mbele kwa vile watu wanaendekeza ngono,wizi,nk, mbona wepesi kuiga ya nje na wagumu sana ktenda ya kwetu wenyewe. Tubadilike
  15. C

    The Undertaker-Retired?

    Katengeneza mapesa huyo sasa anapumzika na kerehemu matunda yake. REST IN PEACE U-TAKER. ulitufurahisha sana michezoni.
  16. C

    Hii nayo..!

    Lengo la mwanamke kuvaa suruali ni moja tu, Kumvutia mwanaume yeyote yule . Chunguza utaona siku hizi miaka kuanzia 8 hadi 48, ndio wanaopenda kuvaa suruali sana, (in short kutafuta soko-). Wengi walio na umri zaidi ya hapo na wenye wajibu kwa familia zao, hutawaona wkivaa ubazazi huo. na hasa...
  17. C

    tiGO mnatufukuza wateja wenu bila kujijua

    Tigo Customer base imekuwa kubwa kuliko uwezo. Ongezeni mitambo, Moshi unaanza kufukuta wateja hufuata huduma bora AMKA sasa , ukingoja baadeye uta........na azigo lako
  18. C

    Kisukari: A simple fix

    Safi sana Mshauri wa UZI huu Mungu akujaalie utuelimishe tena
  19. C

    Elections 2010 Jamani Eeeh IGUNGA ndio hii

    CDM juu juu Jukuliko, CUF Mhuu, Mhuuu, Mhuuu, wachaaaa, CCM hoi hoi hoi zaidi. Sera na uwajibikaji ndio tafsiri ya wimbo huo miaka hii.IGUNGA amkeni mkilala hamtaamushwa tena. nafasi ni hii. Tusubili matokeo.
  20. C

    Too Big

    Je hii ni kweli ama Fiction tu, Huyo jamaa kajaa kweli kweli na msosi huo wote ataumalita tu. je yupo nchi gani huyu jamaa, pima size yake na mwenziwe hapo mezani. mimi natizama tuuuuuu asije kwetu akatumalizia kabudget ketu.
Back
Top Bottom