Aisee hujui hatari unayoieleza.
Kwamba wauze skills zao. Sawa, duka lipo na customer wapo. Daktari anafungua clinic yake mtaani anafanya kazi jioni anapotoka Bugando au Muhimbili.
Mgonjwa unakuja Bugando anakuambia hapa hakuna vifaa, hakuna dawa. Ugonjwa wako andaa hela nenda kwenye hospitali...
Mijadala ya bajeti huchukua asilimia kubwa ya muda wa vikao vya bunge yaani zaidi ya asilimia 70. Vituko vingi kama kufukuzana ukumbini au mbunge kuadhibiwa na bunge hutokea wakati wa bunge la bajeti.
Ni nadra sana kukuta mitafaruku hii kutokea kwenye vikao vile vya Novemba, February na Aprili...
Mtabadili makatibu kila leo kwa sababu zilezile labda muombe CHADEMA ife kabla ya 2015.
Kuhusu wabunge, je wabunge waliopinga bajeti ni akina nani?
Kujibu swali hili inabidi CCM wachukue idadi ya wabunge waliopinga bajeti zote tangu 2011 na hii ya 2012 ndipo wapate ukweli kamili.
Mwacheni asote jela kwa kipindi chote atakachokuwa mahabusu. BInafsi nigependa afungwe ili liwe fundisha moja kati ya mafundisho mengi. Nchi hii tumezidi maisha ya kiujanjaujanja na uhuni kiasi kwamba ukiwa msafi unakuwa kama kituko. Mwacheni asote.
Katuhumiwa nini kwa maana halisi ya neno tuhuma!!
Kwa uelewa wako mwajibikaji ni mtu asitefuatilia haki na wala mdhulumaji wa haki??!!
Kama wafanyakazi wa TANZANIA DAIMA hawalipwi mshahara basi ni ujinga wao hawamfikishi mahakamani mwajiri wao.
Njoka Ereguu,
Hebu pitia hii thread halafu ulinganishe na ulichokisema:
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-sheria-the-law-forum/274500-job-description-hazitolewi-na-waajiri-wengi.html
Ninaamini hufanyi kazi kwenye private sekta. Fanya utafiti wako binafsi uone ndipo utaamini maneno ya...
NI kwa nini employers wengi wanavunja sheria ya kazi kwa kutotoa orodha ya kazi za mwajiriwa yaani Job Description.
Mimi napendekeza watumishi wa idara ya kazi waanzishe mtindo wa kuzunguka kwa employers mbalimbali hapa nchini na ndipo watagundua madudu yaliytojazana huko.
Mtu anafanya kazi...
….Ifuatayo ni kauli ya Celina Kombani, Mbunge, Ulanga-Mashariki.....
*****
{"Ndugu zangu wa Ulanga-Mashariki, mimi kama mbunge wenu siwezi kutatua matatizo yote na hata Serikali haiwezi, hivyo nikatafuta wafadhili wanisaidie, ndiyo Sabodo akanipa visima 10 na ahadi nyingine"}
*****...
Mimi naomba kuuliza,
Mapinduzi ya Zanzibar yalikuwa ni ya kwanza hapa East Africa. Mapinduzi mengine hapa East Africa ni yale yaliyotokea Uganda January 25, 1971 yaliyomuondoa Obote na kumuweka Idi Amin.
Hivyo, utawala wa Idi Amin na Karume unafanana kwa kitendo cha wote wawili kuingia...
Mtumaji wa post namba hii .
Jina Jamhuri ya Tanganyika na Zanzibar haifanyi kuwe na viti viwili kule UN.
Kumbuka hata UK ni United Kingdom of Great Britain and Northen Ireland.
Kuna seat moja tu kule kwa UK yote na kamwe si tatu kwa maana ya England, Scotland na Northen Ireland.
Tabia za madikteta ni kupiga kelele hata kama dunia nzima inajua umezingirwa na hutapona. Tuliona hili kwa Sadam, Gaddafi, Osama na wengine unaoweza kuwataja.
Hakuna mahali ambapo mwandishi amesema hoja inajadiliwa kwa siku 14.
Labda hapo kwenye red unataka kuanzisha thread yako potofu ukiwa na uhakika kwamba wapo wavivu wa kusoma utakaowapata.
Ukiona thread kama hii ambayo huwezi kusema kuna mleta mada kwa sababu kaikopi kama ilivyo kwenye makala...
Ni kweli tangu vyama vingi vimeingia gazeti la UHURU limekuwa likipingua na hatimaye kukosa kabisa wasomaji. Lakini kwa kunagalia thread za humu unaweza kubaini linavyoweza kupata wasomaji.
Mtu anaansisha thread vizuri tu na wachangiaji wanaenda na mfululizo vizuri pia. Lakini ghafla anatokea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.