Utetezi wa WAZIRI MAIGE unamapungufu mengi na yamsingi kwamfano amekopa serikalini 90milioni analipa kiasi gani kwa mwezi kwa njia ipi mshahara au biashara? amekopa CRDB Dola laki 200,000 analipa kwa utaratibu upi? dada yake anabiashara ya matrekta sota hiyo ni ya dada yake au yakwake iko...
hallow! hallow!!! kuna ukweli!!! unajua watu wengi siku hizi wanaoa kwa mkumbo! unaweza muoa dada ati kwa mavazi tu kibaya zaidi yale ya uchi uchi!! so ukianza kupata uzoefu ktkt ndoa unagundua ulikosea na dada anakueleza ulimuoa akivaa hivyo . kinadada wengi hushindwa kutofautisha kabla ya ndoa...
MADA IMETULIA!
Mwanakijiji: Tatizo la Nchi hii siyo Rangi, Tatizo ni FIKRA mgando kwa majority, Bado watu wengi Bongo ni Bendera fuata upepo.Bado tuwavivu Wakufikiri!! Bado Viongozi wengi wanateuliwa au kuchaguliwa si kwa Uwezo wao wa kazi na uzalendo unaoweza leta tija katika nchi hii bali ni...
Aibu ya uongezaji posho kwa wabunge wetu kwanza ni sababu za kuongeza posho za spika mama makinda hazina hoja zito ni pumba tu na za kudhalilisha chama cha mapinduzi hivi hapo dodoma ni hotel ngapi zina viwango vya tsh.100,000/= na kuendelea hivi kweli wabunge wote wanakaa huko?? makinda...
Aibu ya uongezaji posho kwa wabunge wetu kwanza ni sababu za kuongeza posho za spika mama makinda hazina hoja zito ni pumba tu na za kudhalilisha chama cha mapinduzi hivi hapo dodoma ni hotel ngapi zina viwango vya tsh.100,000/= na kuendelea hivi kweli wabunge wote wanakaa huko?? makinda...
BAKWATA ndio imefikisha uislam wa Tanzania hapa maendeleo finyu yanahitajika marekebisho makubwa ndani ya BAKWATA ili uislam uonekane km uislam hao radio iman ni wapya humu bongo lakini wanafanya makubwa ktk uislam haihitaji akili nyingi kuona uislam uko wapi kuna upotoshaji mkubwa ndani ya...
Watanzania tusiwe watu wasio nashukuran!!! wakuu wawilaya 11 wamepandishwa vyeo sasa tusubiri tuone uwajibikaji wao km unajua kuna mtanzania kateuliwa ana KASHFA anika javini sio kulalamika hata kama RAIS atafanya jambo jema!! tunawezaamini wanaopinga niwale wasio mpenda RAIS kwa CHUKI zao...
mwanakijiji
Wewe ni mtu unaeheshimika sana Tanzania MIMI ni mmoja wawanaokuheshimu lakini kwa MADA zako zinazowahusu waislamu Hapo hutendi haki kabisa unaonekana wazi kulalia upande mmoja wa dini uliopo ukristo. mi nadhani hao wanaotaka mahakama ya kadhi au oic wana sababu zao za msingi kwao...
Napata tabu kweli kuelewa swala hili la mahakama ya kadhi mimi nahitaji kuuliza hivi nchi zingine zinazo tajwa kuwa na kadhi mfumo wake ni upi?? mbona hatuelezwi km nitofauti na tunavyotaka BONGO itakuwa haiwezekani MILELE lakini km ndivyo ilivyo ktk nchi zingine basi waislamu wanahitaji...
Mada hii inahitaji karesearch sio nadharia za tangu miaka 70s kila kitu kinawezekana jamani!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
ni kweli LOWASA alijiuzulu kutokana na kashfa ya Rechmond serikalini mi naona kujiuzulu ni ujasiri hasa kwa mazingira ya nchi zetu za Afrika hiyo nisawa na adhabu hata ukifuatilia siasa za japan mawaziri wakuu tofautitofauti wamekuwa wakijiuzulu kutokana na kashfa mabalimbali ndoi huo utamaduni...
Fanyeni Research sehemu mbalimbali hapa nchini mtagundua ni DINI gani inasehemu nyingi na tangu lini?ambazo watu wa DINI nyingine hawaruhusiwi kujiunga nazo mtupe DATA humu then tujadili mimi naamini siku hizi watu wajinga wa mawazo wanaongezeka sana katika nchi hii minafikiri pamoja na ajira...
mambo ya udini yapo sana na si kwa dini mmoja zote tu hasa wakristo na waislam angalia hata humu ktk JF watu wanakomalia UDINI MNO hadi inatisha watu wanazungumzia KADHI wajinga wanageuza wanazungumzia kukatana mikono, mashetani nk na matusi kibao je wenye DINI yao wanafurahia? si wapo? siwamo...
masikin jeuri
<br />
<br />
Umesahau, na mtume mudy, Osama bin laden(marehemu) mullah (alqaeda kwa ujumla wao) al shabab, ccm na wote wasio na utu.
Uislam naona ni kupoteza wakati na kujiandalia taabu jehanam
Nadhani wakilala na kuwaza huona vile walivyo jingine na nafsi zao ila basi tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.