Natumaini wote turn wazima WA afya. Naomba kujuzwa je chuo cha ardhi wameshaita watu kwenye interview au bado kwa nafasi za afya? Nashukuru kwa ushirikiano wenu
Habari wanajamii forum. Naomba kujuzwa ngazi ya Mshahara PMGSS 8 ni Tsh ngapi? Nahitajika kufanya maamuzi ya wapi niajiriwe kati ya sehemu mbili hiyo nyingine Tayari naijua, nahitaji kuijua hii.
Habari zenu wanajukwaa, samahani naombeni msaada wenu wa kujua kiwango cha mshahara kwa mtu anayeanza akiwa na degree moja kwa NIMR ni Tsh ngapi. Pia mshahara wa kuanzia wa tutorial assistant ni Tsh ngapi. Ninahitaji kufanya maamuzi niende wapi bado Sijajua hilo la mshahara vigezo vingine tayari...
Si tabia nzuri kumkatisha mtu tamaa,wazo lako si baya ila namna unavyowasilisha linaweza likaumiza hisia za mtu,jali hisia za wengine pia,nashukuru kaka.
habari zenu wanajamii?Naomba mnisaidie ktk hili,je naweza kuandika kwenye CV yangu ujuzi/elimu ambayo ninayo ila sina cheti kwa sababu ya kututolewa ktk taasisi husika mfano kufundisha temporary ktk shuke ya kata na sikupewa certificate of appreciation?Natanguliza shukurani zangu kwenu.
Zipo witten interview mimi nimeshawahi fanya moja.Da ila watanzania kwa kukosoa balaa yaani kumtia mtu moyo na kujibu vizuri hata kama kakosea ilo halipo,et unamwambia rudi darasani.
Natumaini wazima wanajamii,
Naomba msaada kwa anyejua vyuo vya UK,Malaysia,USA au India ambavyo vinatoa scholarship kwa kozi za online.
Nashukuru kwa masaada wenu,mbarikiwe wote.
Habari wajamii?
Samahani naomba msaada kwa anayejua chuo cha hapa Tanzania kinachotoa kozi za MOnitoring and Evaluation au Project management hata kwa njia ya net naomba link ya chuo cha uhakika sio matapeli
AHSANTENI
Poleni na kazi wanajamii,
Mimi ni mwanafunzi niliyehitimu dipolama in environmental health science natafuta kazi za muda kwa yoyote anayeweza nisaidia anijuze jamani maana nimechoka kukaa home.Nina uzoefu wa kufundisha na nimewahi kufanya kazi kama medicalrepresentative ktk kampuni za dawa za...
naomba kaka unisaidioe jinsi ya kusoma ebooks kwenye cm yangu ya mkononi maana cna uwezo wa kununua laptop cm nayotumia ni ya kichina ina sehemu ya ebooks napenda sana soma ila vitbu bei gari
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.