Kuna laana imeikumba Africa. Inatafuna taifa Moja baada ya jingine. Tz zamu yetu..ila laana uwa inaingia kupitia mlango / upenyo kutoka kwa chochote/mtu/watu walio na influence ktk taifa. Laana hiyo yabidi aliyeiruhusu afe au atengwe au aondolewe kwenye ngazi hiyo yenye influence La sivo...
Utaliwa tu...Either mkeo au wewe mwenyewe kiboga siku watakulia timing wakulambe.
cha kushangaza.... Ww mwizi, unaogopaje kuibiwa? kuwa mwanaume bwana ... Oa na wewe uliwe maisha yako yaendelee
Hatuwezi sikiliza udaku hapa, tuna imani na first hand information only. Ruge ameongeza, Kasema walivamiwa.. mbona bwana zero hajaongelea in media kama alienda "ziara" tu???
Pogba is doing good. Yuko sawa TU. Amebadilisha game ya manUtd.
Ball collection hapo nyuma , possessing Mpira, Mpira haupotei hovyo hapo nyuma. Ameongeza ubora wa Herera,
Si mbinafsi....Tatizo tumezoea wabinafsi. Yeye anawafanya wengine wang'are pia. Anacheza almost uwanja wore ingawa...
Nimejifunza hili: huyu Ni mfano tu wa maelfu ya waTz waliokandamizwa na sheria. Kama viongozi wetu wana akili za ziada basi Ni muhimu wajue kun a umuhimu kuanzisha public events / open days kwa wananchi kuletewa viongozi WA juu wa wananchi wazungumze kwa uwazi wale waliokandamizwa. Maana maelfu...
Bro... Kama ulivyosema... "Kama mwanaume" Sasa kama mwanaume tumbua Hilo jipu faster... Usicheke na nyani...Utavuna mabua. Hapo hakuna ndoa .. usijejutia mbeleni.
Mungu si athumani. Atakupatia tu mwingine wa kukufaa. Usipoteze muda kabisa. Ng'ofoa huo msumari.
Kuwa na mchumba mzuri.. u pay for her school fees and all the bills ..Then in the end someone else marries her is ridiculous..
Wooote unasema oooh wamesoma shule Kenya etc but in the end they aren't serving u and instead u remain with ur pathetic leaders is absurd.
Jisifie nchi yenu kuwa...
Sijui uwa Wanakua wanapika Vitumbua uko ofisini kwao... Bora tu ufunge safari nenda Kesho kituo cha huduma au subiria usiku kuanzia saa 5 uwa wanapokea haraka kidogo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.