Bro bado huajawa na haki kimsingi ya kupewa km unavotaka saabu hujamuoa! Hiyo ni km zawadi anakupa na siku zote zawadi haichaguliwi aina wala kiasi, mtoa zawadi huamua akupe nini na kwa kiasi gani. Muulize kwa nini anafanya hivo, huenda mzee umemzidi sana maumbile!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.