Mi niko DAR ES SALAAM, maeneo ya tabata Kimanga. Fundi anahitajika kwa ajili ya permanent job! lakini ingekuwa vizuri kama ungepiga hio No nilokupa nikakupa maelezo zaidi! asante sana!
Ndugu wana jf ninahitaji container kama yale ya kubebea mizigo bandarini lenye urefu wa ft 20. liwe linapatikana katika mkoa wa Dar es Salaam ili kurahisisha usafiri. Bandarini yanauzwa lkn bei ipo juu kidogo. Kama unalo au unamfahamu mwenye nalo nifahamishe au nipigie simu 0713 727676...
Ndugu wana jf ninahitaji container kama yale ya kubebea mizigo bandarini lenye urefu wa ft 20. liwe linapatikana katika mkoa wa Dar es Salaam ili kurahisisha usafiri. Bandarini yanauzwa lkn bei ipo juu kidogo. Kama unalo au unamfahamu mwenye nalo nifahamishe au nipigie simu 0713 727676...
Ndugu wanajamii forum,natafuta CONTAINER kama yale ya kubebea mizigo bandarini lenye urefu wa ft 20. Container liwe maeneo ya Dar es Salaam. Bandarini yanauzwa lakini bei kidogo iko juu! Kama unalo au unamjua mtu mwenye nalo tuwasiliane kwa No 0713 727676. Natanguliza shukrani!
Natumani mu wazima wana jf. Naomba mnisaidie wanajf wenzangu kwa hili. mchumba wangu ameamua kunikimbia kisa sina hela. nimechanganyikiwa nisaidieni sijui la kufanya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.