Ukimsikiliza Hussein Bashe haya anayazungumza kila siku, mlundikazo wa kodi unawakimbiza wawekezaji, production cost zinakuwa kubwa sana tunashindwa kushindana kwenye soko la dunia..
Asante kwa mrejesho huu, vipi kuhusu miradi ya maji? nakumbuka mkuu wa mkoa aliyetangulia nilimsikia akihojiwa na TBC kuwa jiji lilikuwa na bil 3 za miradi ya maji, ila hadi leo hii sijaona kinachoendelea...
Kabisa uko sahihi, Sam ameanza kufanya kazi zake kwa kutafuta umaarufu flani kwa ili aonekane na wakubwa.. nilikuwa namkubali sana huyu bwana mdogo ila kwa sasa duuuuh amekuwa mnafiki mkubwa sana!
Mimi ni mpiga kura toka jimbo la Karatu since 2000, tunachagua mfumo sio mtu.. tungetegemea sana mtu basi tuwe tunafanya booking kwa Mungu atushushie tunayemtaka.. Steve Jobs alifariki mwaka 2011 lakini Kampuni ya Apple imebaki kuwa imara.. hatununui ipads, iphones kwa sababu zimetengenezwa na...
KWa kiasi fulani nakumbuka mgogoro alioingia huyu mmiliki wa Naura Spring na serikali wakati wa ujenzi wa jengo hili, jamaa alishinda kesi mahakamani akaendelea na ujenzi hivyo inaonyesha huyu si mvamizi! Sasa hapa serikali isipotumia akili zake timamu itaingia kwenye kingi kirahisi sana.. Hili...
Hawa wanaojifanya kwenda kutoa salamu za mwaka mpya na eti kumpongeza mheshimiwa mbona siwaelewi? watu wenyewe wachafu ama ndio wanaenda kuomba uchafu wao usije ukafichuliwa?!! Naomba mwongozo tafadhali mheshimiwa mwenyekiti!:(:(
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.