Kwanza inasikitisha kwa mtu kuandika kitu bila kufuatilia kwa kina na kuujua ukweli uko vip.
Naomba kuuliza ni nani atakuwa tayari kuacha watu wajenge daraja au kuanzisha njia au kufanya shughuli kwenye kiwanja, eneo au shamba lake bila ruhusa yake?
Bila makubaliano ya njia iwe wapi na iwe ya...
Habari nzuri sana ya upande mmoja.
Je ulihoji upande wa mwekezaji kujua sababu ni nini hadi akavunja?
Je hayo madudu umeyachunguza na kuyajua ili pia uyapeleke sehemu inapostahili?
Safi sana na ikiwezekana wamrudishe kwao burundi kwani inaonekana kazoea vita sana na anataka tanzania iwe kama burundi. Ninaomba aondolewe tz yatu ibaki salama.
Kumekucha wanasumbawanga ficheni wake zenu na watoto wenu wa kike. Pia msiruhusu watoto kwenda kwenye kampeni kwani wanaweza kufundishwa matusi huko. Magufuli haendi?
maggid
Upo sahihi mkuu. Ila wewe unategemea majibu mapya yapi kwa hawa polisi wenye majibu mepesi zaidi watamkamata kichaa waseme ndio alihusika na alikuwa anaenda kuungama kanisa fulani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.