Piga picha Mgeni kaja nyumbani kwako wewe ukiwa chumbani . Pengine mgeni huyu ni mtoto wa shangazi yako, mdogo wako kwa kifupi.
Mke anakuja chumbani anakwambia Baby Juma anakuita, tuchukulie mgeni anaitwa Juma.
Kuna tatizo lolote mkeo akitumia njia hii kukutaarifu kuwa kuna mgeni angependa...
Mambo vp wakuu,
Hivi kwa hapa Dar es Salaam wapi nitapata huduma ya fuel injector cleaning ? Najua mafundi wengi wanaweza kusafisha fuel injector lakini naulizia sehemu ambayo wanasafisha fuel injector kwa kutumia mashine.
hii gari ni QR25 four cylinder. Sio six cylinder. Manufacturer catalogue inasema gari inakunywa 11.9km/L ila hii sababu imeshatumika sanaa ilibidi iwe angalau 9km/L.
Habari wadau,
Nimenunua nissan xtrail cc 2500 kwa mtu, ni modeli ya uingereza imetembea kilometa 136,000
Nilivonunua tu nilijaza full tank, cha ajabu nimetembea kilometer 200 taa ya mafuta ikawaka. Nikaenda kujaza tena full tank, ilichukua lita 51 kujaza full tank kwa mara ya pili.
Hivo km...
Kifaa hiki kinakwambia kama gari yako ina tatizo lolote.
Je gari yako inakunywa sana mafuta ? Tumia kifaa kujua nini inasababisha tatizo hilo ili uwe unajua tatizo kabla ya kwenda kwa fundi tengeneza.
Mara nyingi mafundi wanaotea matatizo ya magari yetu, ukiwa na hiki kifaa kinakwambia shida...
Pole sana Okw , umejaribu kupeleka service ikakaguliwe ? Pengine ishu ni ndogo tu.
Na kwa uzoefu wako tangia ulivonunua inakunywa sana mafuta au imeanza hivi karibuni ?
Nahitaji kununua xtrail 2003 yenye engine ya SR20VET,
Nanunua modeli yenye engine ya SR20 kwa sababu engine hiyo inasifika kwa uimara duniani kote na ni nyepesi kwa mafundi kuirekebisha endapo ikisumbua.
Kwa wale waliowahi kumiliki xtraili hasa ile yenye engine ya 2.0L au cc 2,000 naombeni...
Wengi tunabandika vibali vya gari mbele ya gari, hata mimi hubandika upande wa kushoto wa kioo cha mbele,
Kuna wadau huwa nawaona wamebandika vibali kwenye kioo cha nyuma upande wa kushoto.
Swali langu ni kuwa kubandika kibali kwenye kioo cha nyuma ni sahihi kisheria ?
Gari peke yake, dereva mimi mwenyewe.
kuhusu kutokomea nalo hapana sitakimbia na gari yako. Tutafata taratibu zote ili kukuhakikishia usalama wa gari yako.
Ninaishi dar es salaam maeneo ya kibamba, shuguli zangu nafanyia katikati ya mji. Nina mizunguko ya kwenda na kurudi ofisini kila siku,hadi weekends. Na pia nikiwa ofisini mara kwa mara hutoka kuhudhuria vikao na business partners. Mizungunguko yangu inahitaji gari, hivyo ninahitaji gari ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.