Ni kweli... wengine wanapenda kulalamika na kusema hizo deal ni za mafisadi tu. Sio kweli... ulimwengu wa sasa unatupatia nafasi kukutana na watu wa mataifa mengine; tusilaze damu. Sio siri leo hii watu wa nje wana hamu ya kuingia katika soko la Tanzania kuliko nilivyowahi kuona maishani! Kama...
Count me in... will be in Dar mid to late Dec and would be more interested in agribusiness initiatives with ROI of 30% or more annually. Will consider investing or joint ventures depending on required investment and the profile/experience of individuals looking for investment.
Not to take away...
Heshima mbele wakubwa!
Mimi nimekuwa nikipita mara kwa mara na nimeguswa sana na moyo wa wengi hapa wa kufundishana na kusaidiana utaalamu wa biashara na ujasiriamali. Nimeona pia kuna ari ya kujiendeleza na kujikwamua kiuchumi na kimaisha. Nafikiri huu mwaliko hapa ndipo mahala pake.
Bila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.