Kaka mke wa mtu ni sumu acha kabisa,
unapaje uchungu unapockia mkeo
anatoka nje ya ndoa? Mwkite sehemu
lakini uwe na shaidi ili umukanye mbele
ya rafiki yako lazima aache kukufuatilia.
Tunachohitaji ni mabadiliko ya kweli kama kitakufa basi kife tu,
kwani mambo ccm c shwali kabisa wanakoelekea watatwangana
makonde, uchu na ufisadi unazidi kupamba moto kila mtu kwa
sasa hivi anaandaa watu wake kwa ajili ya2015
wanachoona ni chema kwao ni kuingiza suala la udini
ili kuwapotezea...
safari hii igunga lazima kieleweke
,ccm inabidi waandae askari wa jwtz
na sio polisi ili kuweza kuzima hasira
za watanzania wanoendelea kuwa
watumwa ktk nchi yao.
ccm inaleamatatizo ili ipate kitu cha kusemea
baada ya kuwasaidia wananchi,tanzaina
co watu wa kulia na janga la jaa karibu...
Mke anaaweza kuwamajibu sahihi ya Ndugu/Rafiki
pia anaweza kutokuwa majibu sahihi ya ndugu/rafiki
Kama haujaoa omba sana Mungu akupe mke mwema
na kama umeoa omba sana neema ya Mungu na
Barka ktk ndoa yako. Ndoa ndio maana halisi ya
upendo.
Ok,kwanza nikupongeze kwa hicho ulichokiibua. Watanzania wengu huruma yetu na misaada ni ya kukopeshana na kuaazimana,
kwani misaada mingi huenda kwa watu ambao wanauwezo wa kurudisha,maslani angalia watu wanapochangia vikao vya harusi,
tafrija nyingine kuliko kusaiadia wahitaji kama vile...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.