Unazuga wewe kwani na wewe huna mwingine? mann yupo sahihi,huwezi jua lolote linaweza tokea!! kuwa na akiba muhimu sana na inashauriwa hivyo so jamaa alikuwa anaandaa akiba na ukimtosa hata sikitika coz tayari alisha lianzisha. kaa chini msameheane
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.