Ahh mnatuzingua tu na nyie kama hamtaki sensa acheni bana watu wana mambo kibao ya kuwaza wawafikirie na migomo yenu ambayo haina kichwa kwanza nyie mnajijua mko wengi coz mnazaa sana sasa si mjihesabu tu wends
Huyu bwana uwezo wa baba yake nilikua siuelewi vizuri mostly alikua anaropoka tu sidhani kama atakuia nakipya zaidi ya baba yake amesomea hela hizohizo za wizi mwangalieni sana kwenye ishu ya uranium inayokuja hiyo ndo itakua hot kuliko richmond na dowans
Unafiki tu kuwatumia hao maskini kama mtaji wa kura mbona hawachangii wagonjwa wa moyo na magonjwa mengine wanotakiwa kupelekwa india kwa upasuaji na wanatangazwa kila siku
Nape ni mnafiki katika anguko la ccm. nape atachangia asilimia 90 waliomchagua kwenye nafasi hiyo ndo ambao hawakusoma alama za nyakati wakihisi hii nchi ina watu walewale wa zama za ndio mzee watu hao wamebaki sehemu chache hasa mikoa ambayo shule zilichelewa wajukuu wao wakisoma hata wao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.