Search results

  1. Amani ya Mungu

    Mtu akiwekewe mafuta taa masikoni ni kweli hufariki papo hapo?

    Si kweli, Wakati nikiwa mtoto, chupa za soda ndio tulikuwa tunanunulia mafuta ya taa kwa ajili ya vibatari. Sasa ndani kulikuwa na kreti za mbao na zina chupa kumbe wakat nachezea kreti nikijua ni tupu na kuliinamisha ili niskie saut ya chupa tupu ile kama filimbi, kumbe mule kuna moja ilikuwa...
  2. Amani ya Mungu

    Tahadhari: Huyu ni tapeli wa Kujiaminisha?

    Unaweza kutoa mawazo yako ya namna ya kuwasaidia maana ni wengi. Pamoja na yote bado wanachokifanya ni Utapeli wa kujipatia pesa kwa uongo. Mtu anayepata hela kwa njia hizi hawezi kupata akili ya kuendelea maana anaamini na kesho akiomba atapata.
  3. Amani ya Mungu

    Tahadhari: Huyu ni tapeli wa Kujiaminisha?

    Wewe ni mtu wa 7 sasa kumkumbuka mtu yuleyule
  4. Amani ya Mungu

    Tahadhari: Huyu ni tapeli wa Kujiaminisha?

    Wanachokifanya watu kama huyu aliyerekodiwa ndio kinasababisha watu wenye uwezo wa kutusaidia wasitusaidie kwa sababu kuna wachache matapeli kama hawa wametuharibia na wote tunaonekana hatusaidiki/matapeli. Huyu anachokifanya ni Uovu, hivyo kuuweka wazi uovu sio jambo baya. Usimtetee. Amani ya...
  5. Amani ya Mungu

    Tahadhari: Huyu ni tapeli wa Kujiaminisha?

    Mara nyingi ukitendewa wema na mtu sio rahis sana kurudisha wema kwake isipokuwa cha kufanya tenda wema kwa wengine. Jinsi unavyotamani kumpata na kumshukuru ndivyo Mungu alivyombariki na kufikisha shukrani zako kwake kupitia kwa watu wengine. Amani ya Mungu itawale kwako
  6. Amani ya Mungu

    Tahadhari: Huyu ni tapeli wa Kujiaminisha?

    Tusiache kuwasikiliza na kuwasaidia watu wengi wenye uhitaji kwa sababu ya utapeli wa wachache
  7. Amani ya Mungu

    Tahadhari: Huyu ni tapeli wa Kujiaminisha?

    Kabisa. Na ajitahidi kuwakumbuka anaowapiga sound
  8. Amani ya Mungu

    Tahadhari: Huyu ni tapeli wa Kujiaminisha?

    Atakuwa katumia njia hii kujipatia pesa kwa watu wengi sana na pengine kuna wadau humu wanamjua/wameshakutana nae
  9. Amani ya Mungu

    Tahadhari: Huyu ni tapeli wa Kujiaminisha?

    Naomba nikiri hoja yangu imelenga kuleta hoja vijana wajitume na sio kuwa ombaomba ilihali wana nguvu. Mwaka 2023 mwezi wa 5 nikiwa natembea maeneo ya Ubungo jirani na NBC bank alikuja kijana ambaye anaonekana kwenye video hapa na akaniambia yeye ni mwalimu amemaliza SUA na amepata kazi Songwe...
  10. Amani ya Mungu

    DOKEZO: Matangazo yanayoingia kwa SMS yatozwe/yaongezewe kodi

    Mitandao ya simu imekuwa ikituma matangazo yao mbalimbali kwa njia ya SMS kama vile M-KOBA, SONGESHA, VODABIMA, 15350, VodaTaarifa, Vodacom Ofa, M-PAWA, LipaKwaSimu, TigoPesa, TigoNivushe, 15571, BUSTISHA, TIGOPEKEE na SMS Code zingine. Matangazo haya pamoja na kwamba yanaweza yakawa...
  11. Amani ya Mungu

    Kuna mtu alishawahi kupata hii mikopo ya 10% ya Halmashauri inayotetewa sana na wabunge wa CCM Bungeni?

    https://www.jamiiforums.com/threads/sasa-ni-rahisi-kujisajili-kwenye-vikundi-na-kupata-mikopo-ya-10-ya-halmashauri.2033329/
  12. Amani ya Mungu

    USHAURI: Nahisi nimerogwa

    Kuwa makini sana, unapoelekea atafanya kosa mwingine hapa JF kisha wewe utapigwa ban.
  13. Amani ya Mungu

    Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

    Makubaliano kulingana na ulivyozoeleka eneo husika. Wengine wanapewa bure ili wakatangaze soko. 😂🤣😂
  14. Amani ya Mungu

    Natafuta mume (rafiki na msiri wangu)

    Mjenda Chilo ulisaka jenda miisi.
  15. Amani ya Mungu

    Ni nchi gani Afrika raia wake Wana high intelligence?

    Mauritius wako vizuri kwa Afrika, kama vile ישראל walivyo vizuri sana kwa Asia
  16. Amani ya Mungu

    Haya mambo usiombe yakukute, tunamsaidiaje huyu?

    1. Awe na msimamo mkali na awaeleze wazi kuwa amezaa na mtoto wao kwa bahati mbaya akiwa kama mchepuko na yeye ana familia nyingine na mke tayari. 2. Awaeleze kuwa ataendelea kumtunza mtoto na si kuishi na huyo baby mamy. 3. Awaweke wazi kuwa hawezi kufanya mambo kwa kulazimishwa kwani wao...
  17. Amani ya Mungu

    Walinzi ndani ya vyumba vya mashine za ATM

    Kuna muda unakuta wamevuta sigara mule ndani, harufu mpaka basi
  18. Amani ya Mungu

    Kanisingizia natembea na mke wake ilihali mimi ni mchungaji

    Mchungaji, unamuhubiri Mungu yupi katika kanisa lako? Maana hapa umetupiga. Kubali tu kuwa shetani alikupitia, then utueleze alivyokupitia mlienda wapi. Mchungaji unapaswa kuwa na Hekima, Busara na Imani. Huwezi kusema huyo ndugu anaenda mahakamani kwa shambulio la kudhuru na mkewe kakataa...
Back
Top Bottom