Si kweli, Wakati nikiwa mtoto, chupa za soda ndio tulikuwa tunanunulia mafuta ya taa kwa ajili ya vibatari. Sasa ndani kulikuwa na kreti za mbao na zina chupa kumbe wakat nachezea kreti nikijua ni tupu na kuliinamisha ili niskie saut ya chupa tupu ile kama filimbi, kumbe mule kuna moja ilikuwa...
Unaweza kutoa mawazo yako ya namna ya kuwasaidia maana ni wengi.
Pamoja na yote bado wanachokifanya ni Utapeli wa kujipatia pesa kwa uongo. Mtu anayepata hela kwa njia hizi hawezi kupata akili ya kuendelea maana anaamini na kesho akiomba atapata.
Wanachokifanya watu kama huyu aliyerekodiwa ndio kinasababisha watu wenye uwezo wa kutusaidia wasitusaidie kwa sababu kuna wachache matapeli kama hawa wametuharibia na wote tunaonekana hatusaidiki/matapeli. Huyu anachokifanya ni Uovu, hivyo kuuweka wazi uovu sio jambo baya. Usimtetee.
Amani ya...
Mara nyingi ukitendewa wema na mtu sio rahis sana kurudisha wema kwake isipokuwa cha kufanya tenda wema kwa wengine. Jinsi unavyotamani kumpata na kumshukuru ndivyo Mungu alivyombariki na kufikisha shukrani zako kwake kupitia kwa watu wengine. Amani ya Mungu itawale kwako
Naomba nikiri hoja yangu imelenga kuleta hoja vijana wajitume na sio kuwa ombaomba ilihali wana nguvu.
Mwaka 2023 mwezi wa 5 nikiwa natembea maeneo ya Ubungo jirani na NBC bank alikuja kijana ambaye anaonekana kwenye video hapa na akaniambia yeye ni mwalimu amemaliza SUA na amepata kazi Songwe...
Mitandao ya simu imekuwa ikituma matangazo yao mbalimbali kwa njia ya SMS kama vile M-KOBA, SONGESHA, VODABIMA, 15350, VodaTaarifa, Vodacom Ofa, M-PAWA, LipaKwaSimu, TigoPesa, TigoNivushe, 15571, BUSTISHA, TIGOPEKEE na SMS Code zingine.
Matangazo haya pamoja na kwamba yanaweza yakawa...
1. Awe na msimamo mkali na awaeleze wazi kuwa amezaa na mtoto wao kwa bahati mbaya akiwa kama mchepuko na yeye ana familia nyingine na mke tayari.
2. Awaeleze kuwa ataendelea kumtunza mtoto na si kuishi na huyo baby mamy.
3. Awaweke wazi kuwa hawezi kufanya mambo kwa kulazimishwa kwani wao...
Mchungaji, unamuhubiri Mungu yupi katika kanisa lako? Maana hapa umetupiga. Kubali tu kuwa shetani alikupitia, then utueleze alivyokupitia mlienda wapi.
Mchungaji unapaswa kuwa na Hekima, Busara na Imani. Huwezi kusema huyo ndugu anaenda mahakamani kwa shambulio la kudhuru na mkewe kakataa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.