Search results

  1. Fadhili Paulo

    Rais Magufuli: Mshahara wangu kwa Mwezi ni Sh. Milioni 9.5. Nitatoa salary slip...

    Hata mimi najuwa hivyo, kwahiyo Rais ukiingia madarakani mshahara unajipangia mwenyewe au ikoje hii mwingine alipe hii na mwingine hii?
  2. Fadhili Paulo

    Jinsi ya ku-design Blog inayolipa (Part 1)

    Ahsante sana mkuu, ila zaidi ya miezi miwili sasa nimetingwa vibaya mno, niahidi tu kuwa tutaendelea na somo hili mwanzoni mwa mwezi disemba sababu bado nimetingwa sana
  3. Fadhili Paulo

    Jinsi ya ku-design Blog inayolipa (Part 1)

    Tutaendelea na somo letu muda wowote leo, mnisamehe nilikuwa na tatizo la network
  4. Fadhili Paulo

    Jinsi ya ku-design Blog inayolipa (Part 1)

    Mkuu aupa Yes, unaweza kununua server online. Unahitaji kuwa na credit au debit card na account ya paypal kwa usalama wa fedha zako ufanyapo manunuzi online Hili nitakujibu siku zijazo kwa maelezo ya kina zaidi
  5. Fadhili Paulo

    Jinsi ya ku-design Blog inayolipa (Part 1)

    JINSI YA KUDESIGN BLOG INAYOLIPA sehemu ya 4 4. CONSISTENCE/KUDUMU KWENYE MADA Hebu fikiria labda ulikuwa ukitafuta somo linalofundisha ‘Namna ya kufuga Mbwa' na unakutana anuani ya blog inayoelezea somo hilo kupitia injini za kutafuatia vitu kwenye mtandao (search engines). Siku ya...
  6. Fadhili Paulo

    Jinsi ya ku-design Blog inayolipa (Part 1)

    Somo lazima liendelee hakuna namna nyingine. Halafu sasa nimeona tuwe tunafanya hata mazoezi kwa vitendo kabisa kwa baadhi ya mambo hasa namna ya kuandika vizuri kwenye ukurasa wa blog, kama ujuavyo uandishi wa kwenye blog ni tofauti kabisa na ule wa kwenye gazeti au kitabu, huku kwenye blog...
  7. Fadhili Paulo

    Jinsi ya ku-design Blog inayolipa (Part 1)

    Ni rahisi sana. Hakuna hela inayopatikana tu hivi hivi. Nguvu ya hela ipo kwenye mabadilishano ... 'A value of money is in exchange'. Siku hizi ukienda kwenye shule nyingi iwe ni msingi au sekondari utaona walimu wanafundisha lakini pia wana biashara fulani pembeni, labda huyu anauza kokoto...
  8. Fadhili Paulo

    Jinsi ya ku-design Blog inayolipa (Part 1)

    Post au website/blog kwa ujumla lazima iwe ya kiingereza au lugha zingine kubwa duniani ambazo google wameshazipitisha kwa ajili ya huduma ya adsense, utaona hata wakati unaomba kujisajiri unapochagua lugha ya blog yako Kiswahili hakipo! Kiswahili bado hakipo supported kwa adsense Halafu siyo...
  9. Fadhili Paulo

    Jinsi ya ku-design Blog inayolipa (Part 1)

    Mkuu poposindege Kama unataka kwa ajili ya kuanza kujifunza na kupata uzoefu tu, basi anza na domain (jina) halafu server unaweza kutumia ya bure ila kama ndiyo unataka kuwa na blog inayolipa au unatarajia ianze kukulipa hivi karibuni basi anza na vyote. Siyo bei kwa sababu domain ukinunua kwa...
  10. Fadhili Paulo

    Jinsi ya ku-design Blog inayolipa (Part 1)

    Naombeni michango na maswali kabla sijaenda na hatua inayofuata
  11. Fadhili Paulo

    SOLD: Laptop inauzwa bei rahisi kabisa

    Bado mnajadili hii? hii iliuzwa tangu septemba 2014 !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
  12. Fadhili Paulo

    Jinsi ya ku-design Blog inayolipa (Part 1)

    Kujiunga na adsense ni bure ila kuna masharti unayotakiwa kuyatimiza. Mara nyingi blog zenye makala au lugha za kiswahili ni shida kuruhusiwa kuwa na adsense na ndiyo maana unaona kuna wadau wanauza account za adsense hapo. Kuna general guidelines google wanayoiangalia kwenye hiyo blog yako na...
  13. Fadhili Paulo

    Jinsi ya ku-design Blog inayolipa (Part 1)

    JINSI YA KUDESIGN BLOG INAYOLIPA sehemu ya 3 3. Self Hosted Blog Ili blog au website ionekane hewani inahitaji vitu viwili Jina (Domain) <= tumeshajadili kuhusu domain hapo juu kwenye TLD stoo/hifadhi Host/Server (Host/Server) Kama ilivyo kwa majina (domain), kuna majina ya bure na...
  14. Fadhili Paulo

    Jinsi ya ku-design Blog inayolipa (Part 1)

    Wanadai baadaye zinakuwa disabled na google wenyewe. nime-google, hiyo kitu inawalakini, labda tupate ushahidi wa watu hapa walionunua adsense ac na wamedumu nazo muda wote.
  15. Fadhili Paulo

    Jinsi ya ku-design Blog inayolipa (Part 1)

    Nisamehe mkuu, niliugua malaria ghafla, kichwa kimeuma vibaya mno siku 3 mfululizo. Kesho jtatu tutaendelea anytime .....
  16. Fadhili Paulo

    Kurudisha data ulizo format kwenye hard disk

    Mkuu, tuku-email tena? weka tutorial hapa namna ya kufanya hiyo kitu
  17. Fadhili Paulo

    Tovuti ya Wizara ya Elimu Tz imefanyiwa hacking tena..

    Umefanyaje kuwa-verify kama kweli ni wa Morroco?
  18. Fadhili Paulo

    Jinsi ya ku-design Blog inayolipa (Part 1)

    Wakuu, baadaye usiku leo tutaendelea na sehemu ya tatu ...
  19. Fadhili Paulo

    Jinsi ya ku-design Blog inayolipa (Part 1)

    Mkuu, Kosa la kwanza ninaloliona ni namna DESIGNER wako alivyoiweka sheet au uwanja wa hiyo blog. Utaona sehemu ya makala au uwanja wa kuandikia maneno una upana ulio sawa na uwanja wa menu (right side bar [B to C]). Upana wa kutoka A hadi B ulipaswa uwe mkubwa zaidi kuliko kutoka B kwenda C...
Back
Top Bottom