Mkuu, achana nae huyo. Nape uwezo wake wa kujenga hoja ni mdogo. Nakumbuka alivyosema siku moja akiwa katika mjadala star tv alipoulizwa kuwa kwanini ccm imejaa watoto wa vigogo ie. Mtoto wa Mwinyi, Yeye mwenyewe, Mtoto wa jk, Makamba, kn. Ili kuthibitisha kuw a akili yake si nzuri alijibu hivi...
Kufa kwa mtu, mti, sisimizi.... au chochote chenye kuishi NI SAWA TU. Sema binadamu kwa akili yake amejifanya kujipa matumaini kuwa kuna maisha baada ya kufa. Ukifa umekufa tu. Hizo ni ndoto za mchana na kujipa matumaini. Linda uahi wako maana hakuna maisha zaidi ya kufa. Mnisamehe mimi ni...
Naitwa Yared, nakuja kujiunga nanyi hasa katika harakati za mapambano ya kuliendeleza na kulikomboa taifa letu mikononi mwa wahuni/
Naomba ushirikiano wenu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.