Kuna kamchepuko kangu huwa napunguza stress za maisha mara moja moja,sasa cha ajabu jana nilimwita tukutane maeneo yetu ya kujidai tufanye yetu.ile kumshika kiunoni nakuta kweupee hakuna chachandu kama nilivyozoea ikabidi niulize kulikoni?
jibu alilonipa ndio sababu ya kuandika uzi...
kukamatwa kwa meno ya tembo maana yake tembo wameshauwawa. Nataka kusikia majangili yamekamatwa katika harakati za kutaka kuua tembo. Wazuie tembo kufa sio kukamata meno ya marehemu tembo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.