Sasa! jana nimemlia mikausho mikali, baadae xana katuma sms nikaipotezea, then akapiga na kuanza kuuliza y nipo kimya nkamuuliza ulijisikiaje nlivokua kimya mda wote huo? akadai amejisikia vbaya... Sasa cjui nfanyaje coz napenda xana manzi wangu anichek kila time ikibidi ili hata nisiweze...
Nina dem wangu (shori) ambae yuko mbali nami kijiografia na mahusiano yetu yanaendeshwa sana kwa sim, sasa inafikia kipindi inapita siku bila kunipigia wala sms, nikimuuliza kwanini hajapiga anadai ni mishemishe 2 za hom zimemuweka bize, na mimi siku nikiamua kuuchuna ili nione inakuaje au...
Natafuta sana watu wanaosoma au waliosoma masters of Education hasa MED APPS (Masters of Ed in Administration Planning and Policy Studies) kwa lengo la kubadilishana uzoefu, kufanya discussions na kushare learning materials. Tafadhali naomba tushirikiane katika hili. Nitatoa mawasiliano kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.