Wana jf sielewi serikali ina mpango gani wa kulipa mishahara ya mwezi wa saba kwa wale ambao hawajalipwa.
Kwa utaratibu uliozoeleka mishahara huwa inapelekwa kwenye taasisi husika then taasisi husika ndio inaisambaza kwa kila mmoja. kutokana na mishahara kulipwa moja kwa moja toka hazina kuna...
well said ndio maana mi nitachangisha kutoka kwa watu wote niliowachangia then nafanyia kijijini harusi na naweza tumia kama laki 8 tu zingine nanunua kiwanja fullstop.
Yaani website ya hii board ni matatizo kabisa bora TCU wako systematic. Nimelipia elfu 30,000 tangu jana gharama ya kuapply mkopo HESLB lakini nahangaika tangu jana kila nikiingiza Transaction ID hazitambuliki sijui inakuwaje hapa unalipia harafu bado maatatizo, please HESLB rekebisheni hili...
Nenda pale hindu mandal hospital kuna doctor professor wa magonjwa ya ngozi.Anakuambia kabisa kuwa hivyo vipele dawa hamna madukani huwa anakupa siku 2 anatengeneza maabara,rafiki yangu alienda pale katengenezewa vipele vinaisha kwa kasi saizi,ila anafanya laki na nusu.
Sijui kwanini hawa fastjet hawataki kuanzisha safari za Mbeya, maana wamewaachia precision air pekeyao ambao sasa bei zao za kwenda Mbeya zimefikia 310,000 tofauti kabisa na bei wanayoitangaza ya 249,000.
Please fastjet njooni mlete upinzani kwa huyu precision air
Wakuu kwakweli hapa nimeshindwa kuelewa kabisa hivi ''Institutions salary scale PTSS
13-14'' ni sawa na mshahara kiasi gani,manake hizi government salary scale ni nyingi sana na sizijui.
Ukiona hivyo jua mme wako kakuchoka au kuna vitu adimu alikuwa akifanyiwa na huyo mpenzi wake sasa kavimiss ndiomaana anaamua kuvifuata huko,ushauri wangu kaanaye tena muhakikishie aacahane naye otherwise unalifikisha kwa wazazi.
Wanafunzi 18 wa vyuo vikuu nchini wameburuzwa mahakamani baada ya kubainika kushindwa kerejesha mkopo uliowawezesha kupata elimu ya juu kutoka Bodi ya Mikopo (HELSB).
Washitakiwa hao walioshitakiwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam wanadaiwa zaidi ya Sh. milioni...
Hiki chuo kweli kipo ni kipya tu jengo lake lipo pale kimara mwisho(linapojengwa daraja la juu) ukitokea ubungo ni mkono wa kushoto fuata barabara ni kama mita 300m utakiona.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.