So, what have I got: three people. One saying utaipata na utajuta kutu-criticise. Mwingine anasema ana "criminal record" yangu (kwi kwi kwi!). Mwingine anatishia "you are in for a treat silly". And all are CHADEMA people. The reason: they got a little wake-up call kwamba kuna upande wa pili wa...
So, what have I got: three people. One saying utaipata na utajuta kutu-criticise. Mwingine anasema ana "criminal record" yangu (kwi kwi kwi!). Mwingine anatishia "you are in for a treat silly". And all are CHADEMA people. The reason: they got a little wake-up call kwamba kuna upande wa pili wa...
Anakuwa tishio kwa Mbowe na soon wataanza kumfanyia fitna kama walivyomtoa Shaibu Akwilombe na Amani Walid Kaburu.
No wonder kuna siku hapa JF mtu mmoja alipo-suggest kuwa yeye ndio awe kiongozi wa CHADEMA huyu bwana aliomba kauli ifutwe mara moja kwasababu anajua madhara yake. Kwikwikwi!
Fikiraduni,
Wewe sasa unalazimisha tembo afanye gymnastics. Ukiondoa Kitila, katika hawa jamaa hakuna mwenye intellectual stamina ya kupitia documents zote mbili na kuchambua hoja kwa hoja. Hapa ukileta headline ya Kulikoni ndio wao wanajitumbukiza. Mwanakijiji akisema kaonge na Meddy...
Judy, nimefanya yale masahihisho with context. Nilikuwa namrekebisha Bwana Philemon Mikael, kiongozi mwenye dhamana kubwa katika jamii yetu, na ambaye watu wanadai he is extremely intelligent lakini anadai kuandika "rainball" badala ya "rainbow" ni kuteleza vidole. Caught him on stupidity...
Kichuguu, hujui kwamba CHADEMA ni NGO? Kwahiyo, usishangazwe na NGO nyenzake kujitokeza kumpokea shujaa...anayepokewa kwa kutimiza wajibu wake wa kuipinga Serikali. Wabongo kweli tumelemaa...yaaani tunafanya maandamano kisa Mbunge wa Upinzani kaleta hoja Bungeni ya kuipinga Serikali. What did we...
Hahaha! So, is it a good thing or bad thing? Lakini, Dante, that genious Italian, alipata kuandika kwamba "the hottest places in hell are reserved for those who, in times of moral crisis, preserved their neutrality"
Lakini, at the same time, "feng shui" or "balance" is "in" these days. Hahaha!
Jana niliahidi kuya-post hapa ni 24-hours time. Still working on it. Bongo internet mzozo wakati mwingine. Lakini what is interesting ni kwamba kuna majority ya wana-CHADEMA hapa and surely one of them must have majibu ya Karamagi. Why are they not posting them? You guessed it.
Mwendo mdundo tu hapa...wako wengi lakini wanachoishia sasa ni kutukana na kutishia eti utajuta na unachoandika hapa. Ingekuwa mwenzangu mmoja hapa angeshachapisha petition kwamba anatishiwa maisha, but my mission hapa ni kudhihirisha unafki wa wana-CHADEMA hapa na kuonyesha kwamba their messiah...
Acha vitisho vya kijinga. Wewe mtu mzima na akili yako unadiriki kutishia watu eti watajuta kisa they don't share your views and beliefs! Hapa ndio mnapochemsha nyie watu wa CHADEMA kwasababu mnajionyesha your true colours as undemocratic and intolerant to different views. Mbona hapa niko gia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.