Wana kina kitengo cha police airwing.na wangekuwa hawawezi ingeundwa hiyo kamati unayosema,polisi wengine wamesomea hayo mambo na wana marubani wao au unadhani helcopter zao nani anazirusha.penye ukweli tuongee ukweli sio mtu unaandika kitu ambacho huna uhakika nacho.
Yani tv zetu sijui ziko kwa manufaa ya nani coz mda c mrefu nilikuwa nacheki aljazeera,wao ndo wameonyesha hata miili iliyookolewa!then reporter yuko nairobi. means hapa kwetu hakuna hata reporter wa media kubwa kama hiyo!we are far away from world!
Nimeshakusoma mawazo yako hutaweza kupata hiyo job.nikuulize kama hata cku moja umewahi kuckia matangazo yao ya kazi?wana wa2 wao so utajisumbua,then wameona umeshaanza kuandika huku jf wanajua utakuwa virus!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.