Mimi nilijua kama alikuwa hajafikia thamani alioahidiwa kupewa na magamba, lakini alipozitia mkononi tu kasingizia Al-shabaab.
Wananchi mnakiwa kuandamana wenyewe, maana wasomi wengi wanaogopa kipigo na rumande.
Mkuu ni shemeji yako au kaku...................... ? Siono la maana alolifanya sikwambii hapo alipo sasa hvi hata huku zenji bora Punda anathaminiwa kuliko kiburi huyo.
Kuwa na akili ukiongea bana !
Mimi napata tabu ktk issue hii, kwa mfano wazanzibari hawaoni tabu kujitambulisha kama wazanzibari na pia vingozi wao wako hivo hivo.
Cha kushangaza nyinyi wenzetu Watanganyka hili jina hamlitaki na ndio maana viongozi wenu pia hawalipendi kulitumia hili jina musimlaumu Nyerere, na ikiwa...
Huo ndio upumbvu mlionao, mkiambiwa kweli mnajidai tunaleta udini, yaani nyinyi siku zote mnakuwa kama vile serikali ya marekani "mkisema nyinyi nisawa lakini wengine inakuwa noma" Huo uliolezwa ni ukweli mtupu lakini kwa vile alotajwa ni muislamu inkuwa hana uzito hata kama anastahiki kupewa...
Nimesoma maoni tofauti, lakini nimegundua UDINI na CHUKI binafsi kwa wachangiaji zinawasumbua sana. Mnatakiwa msijifikirie nyinyi (i.e WAKIRISTO) tu, pia waislamu wanahaki kama walivo wakiristo ndani ya nchi hii.
Wacheni ubinafsi wenu wana JF.
Wassalaam.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.