Prof Rugumamu sr. and Jr
Prof. Mwandosya
Prof. Tolly Mbwete
Dr. Mwamfupe
Dr. Jambia
Dr. Mwaigomole
Dr. Lyoka
Dr. Katabaro
Prof.Possi
Dr. Magreth mboya
DR. Massoud RIP
PROF. Mbonile
Prof P. Mushi
Prof. Mosha manywele
Prof. Ngwale suleiman.
Prof. Mpangala
Prof mlwaya...
Hemed Kivuyo ni mtaalam na anakubalika na wengi na naweza kumfananisha na Ben Mwakikoti jasiri wa afrika. Ben akitangaza Habari za Majira watu walikuwa wanasahau kula.:lock1::lock1:
Binfika nasikitika sana kwa kunyimwa haki ya msingi ya kupata habari kama mtanzania mwingine yoyote. Mwal Nyerere ambaye siku zote watu mbalimbali wamekuwa wakimtumia kama kete ya ushindi na hasa wanasisa alisema mwananchi asiyekuwa na elimu ana maradhi makubwa kuliko maradhi mengine yote. Mimi...
Mwigulu ndugai na makinda wao ni mashabiki wa chama na si wanchama, mwanachama huwa hongozwi na hulka za hisia bali hekima, busala na utashi wa kubaini ukweli na kusimamia haki. Shabiki siku zote haijui haki wala hatambui ukweli ni upi, isipokuwa anakurupushwa na hisia juu ya kile...
Hiyo video ni ya kuchongwa, kwani hata anachoelekeza lwakatare hakisikiki, huo ni uongo wa hali ya juu kabisa, hizi njama nia za serikali ya ccm na si za chadema. pili kwa nini membe hajakamatwa naye aliapa kuwa ana maadui kumi na moja wakiwemo waandishi wa habari wawili? na alisema atawamaliza...
Wdau tv nilizozileje hadi leo naona kwangu zipo on test tangu matumizi ya digitali yameanza, na chaneli zote zingine ambazo awali kwa king'amuzi cha star times zilikuwa zinaoneonekana hizo zinaendelea kupatiakana kama kawiada. nilipowapigia hawa wahusika wa king'amuzi hiki wanaambai nielekeze...
Hongera yako sijui ilimaanisha nini kwani ni mishahara bado haijatoka na haileweki ni lin itatoka, kwa sbb nasikia haina pesa. hivyo wansubiri makusanyo ndiyo walipe hiyo mishahara,
Baba yetu JK mwanakioo cha jamii ndugu yetu Small Wangapa anumwa ambapo amepooza mguu. Kwa Taarifa hii tunaomba umsaidie naye kama ulivyomsaidia mwanakioo cha jamii ray c kwani naye badotunamhitaji na hasa ukizingatia mchango wake mkubwa alinao katika jamii ya watanzania kupitia sanaa yake ya...
Kijana januari, anutaka urais kama baba yake yosefu alivyomuombea uwaziri kwa swaiba jk naye akazuga na baadaye akaachia. Akumbuke kuwa kwa kufanya hivyo anamwaga sumu kwa rika jingine na kueneza ubaguzi wa kiumri. kinachotakiwa ni hekima na dhamira ya dhat i ya kulikomboa taifa hili katika...
Ni kawaida kwa jamii yoyote duniani kuoa ama kuolewa na hasa kwa binadamu aliyekamilika. Kimsingi kuoa ni jambo la heri kwa mtu kupata mwenzi. Na ndugu jamaa na marafiki kuchangia kwa mawazo mali na misaada mingine ya kijamii ili kufanikisha shughuli hiyo kukamilika.
Hata hivyo uchangiaji huu...
Waendesha tukutuku ukweli wanahitaji mafunzo ya kosha Na ikiwezekana wafungiwe kwanza mpaka wapatae mafunzo ya kutosha. Hawa watu hawaelewi kirahisi na has pale wanapojifanya wao wanajua sheria wakati ni maamuma. Wengi wao hawajui hata kuandika majina yao, pili pikipiki sio ajra pekee ambazo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.