Ndugu zanguni mimi ni mwana JF mpya nomba niwape hongera kwa kulisukuma mbele jamvi hili la JF.Naomba tushirikiane ili tuzidi kulipeleka mbele zaidi jamvi hili maana ni la muhimu sana katika kupashana habari; na kuelimishana mambo mbalimbali sisi wenyewe.Asanteni sana na tuko pamoja
Ndugu zanguni mimi ni mwana JF mpya nomba niwape hongera kwa kulisukuma mbele jamvi hili la JF.Naomba tushirikiane ili tuzidi kulipeleka mbele jamvi hili maana ni la muhimu sana katika kupashana habari na kuelimishana mabo mbalimbali sisi wenyewe.Asnteni sana na tuko pamoja
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.