Dada unamkosoa mungu? Usipojikubali nani ataktkubali, acha ushamba, kwan hayo matiti watoto hawanyony? Unataka upunguze il iweje! Mumeo kakupenda vle ulvyo, ila kuna dawa za kchna tafuta unywe!
Amen bwana Elli. Mungu akujaalie. Nilichanganykiwa ila kwa sasa nipo safi. Nashukuru kwa ushauri wenu wadau, hata huyo aliyeniambia nijiandae kuachika mungu ambariki ampe uzao kama wa mfalme suleiman.
U.T.I husababshwa na fungus. Hasa wakat wa kujamiiana ambapo minyoo hutoka ktk ****** na kuingia kwenye uke kupitia njia ya mkojo. Hvyo unashauriwa kutoa mkojo baada ya kujamiana hi husaidia kuwaflash wadudu. Wanawake hupata kwa urahc kwa 7b tupu zao zpo nje hvyo anapochuchumaa hukarbia zaid...
Nipo kwenye ndoa miaka 2 hadi sasa sijawahi kushika ujauzito.
Nimepima vipimo vyote mie na mume wangu hatuna tatizo. Naenda mwezini kama kawaida. Sijawahi kutoa mimba wala kutumia njia yoyote kuzuia mimba. Nimekunywa dawa na kuonana na madaktari bingwa wa magonjwa ya wanawake naambiwa sina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.