Wash basin ya gharama na quality unaweza kupata kwa laki5, sasa unataka kumpunguza mtu mil 115 kwa sababu ya washbasin? Ofcourse material yaliyofanyiwa finishing ni ya gharama ndogo kidogo, ila angalia huo mtaa kama unaona vizuri, Ukuta tu ni kama 12m kuujenga, paving blocks hapo na garden...
Nauza Solar System ya Watts 60 Kwa bei ya kutupa kabisa sh400,000
Nimeitumia miezi sita tu, na kuiondoa nikafunga system kubwa zaidi.
Naiuza kwasababu imekaa tu nyumbani sina kazi nayo.
System hii inakuwa na 60 Watts Poly Solar Panel, 65ah Dry cell Battery, 150ah power Inverter na 6ah Charge...
Compaq CQ58 Laptop Inauzwa Laki Saba tu (700,000)
Imetumika kidogo sana (Kwa matumizi ya Adobe CS6 zaidi), inakuja na box lake na kila kitu kilichonunuliwa nayo.
Inakaa na battery masaa matano,
4GB Ram
Intel (R) Pentium (R) CPU B980 @ 2.4GHZ (2CPUs)
Intel HD Graphics 1664 MB
RealTek High...
Nilishaiuza hiyo gari almost two years ago na niliyemuuzia haijawahi msumbua hata siku moja, ni mtu tunafahamiana na nilimwambia kabla ya kumuuzia. Sometimes what works in Bongo, does not work anywhere else...Huu ndio ufundi wetu wa kuchokonoa... Fundi kama hajui kitu anabadili system tu...
Nimeitumia hiyo gari kwa muda wa mwaka mzima, sijawahi kupata tatizo lolote serious, Kuna siku ilioverheat nikaipeleka kwa mtaalam akatoa thermostat ndio sikufungua tena chochote. Ni gari moja nzuri sana kwa familia... Bora kuliko Hata noah... Nimeshaiuza na niliyemuuzia anaitumia mpaka leo na...
Hapo nakuunga mkono asilimia 100. watanzania wengi wanaangalia gharama ya mwanzo, na bila kujali gharama zitakazokuja baada yake.
Nakumbuka mwaka jana niliagiza Carina Ti, niliendesha miezi miwili nikaenda kubadilisha tyrod na ball joints, tangu siku hio nikasema sitanunua toyota tena. Toyota...
Ndugu Najua unahitaji Hilux Double cab, ila kwa budget hiyo TOYOTA NZURI UNAWEZA KUSUBIRI SANA... Kama Vipi Nicheki tufanye biashara kwa MISTUBISHI L200, 2.5cc TURBO DIESEL, IMETOKA LEO BANDARINI, NDIO KWAAANZA NAIBANDIKA NAMBA KESHO... BEI 20m, Picha na maelezo mengine Icheki hapa...
MITSUBISHI L200 4LIFE, MANUFATURED IN 1999....JUST IMPORTED TODAY 17/07/2013 FROM THE UK, DUTY PAID, COMES WITH BLUE AND SILVER, 2.5cc TURBO DIESEL, MANUAL TRANSMISSION, DOUBLE CAB WITH MATCHING CANOPY, AIR CON, ALLOYS, ELECTRIC WINDOWS, POWER STEERING, GOOD TYRE ALL ROUND, A VERY NICE EXAMPLE...
Ndugu usihangaike na magari yaliyopigwa NYUNDO na mafundi wetu wa uswahilini...
Ingia hapa Toyota / IST - Japanese used cars exports and Japan car import / 2004 chagua unayoitaka, Lipa kwa PAYTRADE... Utatumia MAX 3000USD mpaka dar, ambayo ni mil 5 kasoro laki chache, Ikifika Utalipa Ushuru kama...
Asanteni kwa ushirikioano. Nafasi imeshapata watu waliokuwa wanahitajila. If you are still interested in working with us, PM me, for other upcoming opportunities.
Hakuna shaka ndugu, najua Kuna watu waelewa kama wewe wengi sana.
Huyo jamaa anadhani kazi ni mshahara tu? Anaweza kuspend masaa matatu facebook kwa siku anasoma upuuzi na kujadili udaku lakini akiambiwa afanye kazi hiyo hiyo kwa laki mbili.kwa mwezi atalalamila.
Unajua maana ya part time?
Unajua skills na faida atakazopata kwa kuwa mtafiti?
Hii ni kazi ya kucopy na kupaste sasa kama unataka ulipwe milioni kwa kukaa nyumbani kwako na laptop unapaste habari sijui tukuiteje? Au unataka per diem? Manaake graduates wanalipwa laki 5 serekalini kwa kutarajia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.