Search results

  1. Tausi.

    Nisaidiei kuhusu hili..........!

    Huko kwigine ndio nnapotaka nipaelewe dugu ili nione kama atafanikiwa.
  2. Tausi.

    Nisaidiei kuhusu hili..........!

    na ninahisi DIT panaweza kuwa ghalama kubwa!!!! au vip kwa mnokielewa fika.
  3. Tausi.

    Nisaidiei kuhusu hili..........!

    ni kweli ndugu DIT Mmhh, ningejua hata kingine kinachohusiana na mambo hayo, na kinachotambulika na serikal.
  4. Tausi.

    Nisaidiei kuhusu hili..........!

    masomo a science alipata c chemi, bio, phy hakuchukua.
  5. Tausi.

    Nisaidiei kuhusu hili..........!

    Ni matumaini yangu wazima wa afya tele. Tumshukuru Bwana Mungu wetu kwa hilo. Nina mdogowangu alimaliza form 4 mwaka 2010, alipata div 3 ila hatukuweza kumpeleka popote kulingana na uchumi wa familia yetu, kwa sasa amepata mfadhili wa kumsomesha chuo na anataka asomee mambo ya laboratory...
  6. Tausi.

    vipi hawa tanroads kagera wameahirisha kuita au kuna mafuriko?

    Kaka hapa kuna habari za kusua sua hazina uhakika kabisaaaaaaaaaaa. Kuna mmoja aliniambia walishaita zamani na wanapiga mzigo, Mwingine akasema bado hawajaita kwani wanasubilia fungu toka............., sasa sijui nani mkweli???? Mwenye habari za uhakika hapa tunaomba atujuze.
  7. Tausi.

    ' Mtambuzi jipe moyo utayashinda'

    Pole sana Baba, Nimefurahishwa sana na ujasiri wako, Ninashukuru kwa kutupa short story ili nasi tuwe na uvumilivu na mitihani tunayoipata, ni kweli tukipata baadhi ya mitihani tunakata tamaa kabisa na kila kitu na tunaona kwamba sisi ndio tulioonewa, lakini kumbe wapo baadhi ya watu miongoni...
  8. Tausi.

    PICHA: Mafuriko yalikumba jiji la Dar es Salaam

    Umenena kweli ndugu yangu, Lakini wakulaumiwa sijui ni nani, hebu tujiulize ni:- Wananchi wanonunua ardhi bila kujua kuwa hapa panafaa au lah????? Na wanapotaka kujenga wanajenga bila kuchunguza eneo????? Au wanawaita hao wanaoitwa makandalasi na kuona hili eneo halifai huwapa taarifa kuwa...
  9. Tausi.

    Maskini watalii, msitusemee mkirudi kwenu tafadharini.........

    Kila penye mazuri, na mabaya yapo. Wanataka waburudike tuuuuuuuuu na vivutio vyetu????? hicho nacho kivutio tosha, ili wakawahadithie na wenzao.
  10. Tausi.

    Nahitaj msaada mpenzi wangu mvivu saana

    Labda hata kazi anayofanya ni ngumu, anarudi amechoka, anarudi mishale ya jioni sana, ongeza na matusi ya mwajiri + masimango.
  11. Tausi.

    Ingependeza kama wanawake wakijibu swali hili

    Hao watakaonilalamikia nitawaambia wakapange nyanya wauze, wapate asali na maziwa, nikiona hawanielewi nitahama niwaachie nyumba.
  12. Tausi.

    Anae dekezwa si mtoto tu .

    Endelea tu kunywa, utashindwa hata kuamka hapo.
  13. Tausi.

    Muuza kuku

    Mpaka kufika anakoenda, atakuta wamekufa kuku kama 50, ambayo ndio faida yenyewe.
  14. Tausi.

    Hasara za ushauri wa rafiki kimapenzi..

    Kweli kabisaaaaaaaaaaaa, na hufanya hivyo ili aone wewe utamshauri vipi? Utaendana na maamuzi yake au lah! Lakini maamuzi tayari keshaamua mwenyewe.
  15. Tausi.

    Hasara za ushauri wa rafiki kimapenzi..

    Asante kwa darasa, safi sana. Tunaomba utatuwekea na "HASARA ZA KUTOOMBA USHAURI, A.K.A KUTOA MAAMUZI BILA KUMSHIRIKISHA MTU.:poa
  16. Tausi.

    Namsaport Lady JAY dee 100% "MOYO KIZA KINENE HUWEZI KUJUA...."

    Kwahiyo wewe unachomaanisha hapa ni kwamba huyo mwanamke aliolewa na mwanaume ambaye sio chaguo lake?????? Au uvivu wake wa kushindwa kuwajibika. Nilivyoelewa mimi tatizo ni kuzaa nje ya ndoa.
  17. Tausi.

    Kauli hii inamhusu yupi kati ya mke na HG?

    Mbona majukumu ni mengi tu kaka yangu yanayomuhusu mke, Hivi bila kukaa vizuri na mumeo, kumsikiliza ushauri wake, kupanga maisha yenu ya baadae, kuratibu mikakati yote ya nyumbani, bashasha na Mashamsham yanayohitajika kwa mke kumfanyia mume, hicho chakula kilichopikwa na dada...
  18. Tausi.

    Kauli hii inamhusu yupi kati ya mke na HG?

    Kaka Eiyer, Bila kuishi na mume utalea familia????, Ukijua namna ya kuishi na mume ndio familia yenyewe. Unaposema "Kama ni hiyo inamfaa HG Kwa sababu HG ndiye anaelea familia" "Lakini kama ni wote taifa litapata hasara kwa wanawake wengi kwani wataelimishwa halafu hawataitumia vyema elimu yao...
  19. Tausi.

    Kauli hii inamhusu yupi kati ya mke na HG?

    Inaeleza kila kitu, kweli huitaji kueleza kila kitu. Thanx
Back
Top Bottom