Kama kuna anayejua mtu anauza Vitz iwe ya mwaka 2001 nakuendelea juu i.e 2002 na iko kwenye hali nzuri awasiliane na mimi tufanye biashara. iwe chini ya cc 1000. Bei isizidi. contact zangu ni lkawamala@gmail.com.
wakuu offer hiyo hapo nahitaji Mil 4 tu, pungufu sipokei ila nyongeza tutaelewana na wala madalali hawahitajiki. nicheki kwa 0713 262798. Ni starlet 1994, manual, EP82 closed top cc 1300 KM 156,748. haina tatizo lolote na iko barabarani inapiga mzigo. Ilikuwa registered 1/7/2003
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.