Mbona mtoa mada unacomplicate, push mobile wanachofanya wanaangalia namba ambazo znazosoma kwenye minara yote ya makongo na kawe kiujumla wakati wa peak hours, so zile znazosoma frequently zinaashilia we ni mkaz wa hapo
Yani huyu jamaa huwa namshangaa huwa anaongea kama ye ndo chama pinzani mfano ajenda ya majimbo ya CDM ni mradi wa wakubwa maneno kama hayo yalitakiwa yatajwe na chama pinzani anaongea kana kwamba CDM wameshachukua nchi na kuanzsha mfumo huo.... huyu jamaa alipaswa kuwa baloz wa nyumba kumi sio...
alafu nimegundua wengi humu huwa wanachangia kwa kusoma kichwa bila kusoma contents maana wengne wanakurupuka na kusema CDM wahuni kwakusema CUF ni mashoga wakati hamna hayo maneno kwenye hotuba ya wenje zaidi ya kusema CUF kinafuata mlengo wa wale wanaoamini katika USHOGA
naona hii post kina thatha na we.zake(buku7 fc) wameishabikia na kujaribu kupotosha maneno ya wenje. mfanykaz bora anaipenda kaz yake endelea kukaza thatha utapata bonus iwe 10 maana naona kili page ya hii thread upo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.