Search results

  1. Rwebangira

    New Catholic Pope: Cardinal Jorge Mario Bergoglio

    Hii ni habari njema kwa wote wenye mapenzi mema na Kanisa Katoriki kote Duniani, Ee mwenyezi Mungu ASANTE kwa neema hiyo mjalie uwezo wa kuyatimiza yote kwa mapenzi yako
  2. Rwebangira

    Je, unakumbuka nini enzi zako za JKT? Ni mambo gani yalikufurahisha au kukukwaza?

    Acha uongo huo mwaka uliotaja sio op vyama vingi ilikuwa ni op miaka thelathini ya uhuru acha kudandia.
  3. Rwebangira

    Je, unakumbuka nini enzi zako za JKT? Ni mambo gani yalikufurahisha au kukukwaza?

    Asante sana kwa kumbukumbu yako nzuri iliyosheheni vituko zaidi kuliko mazuri uliyojifunza ikiwemo kilimo cha zabibu kwa wale waliokuwa Makutupora, ufugaji wa kuku wa mayai Ruvu, kilimo cha mahindi kule Mlale, mafinga, na kwingineko, bila kusahau matofari ya mawe Oljoro na kilimo cha maharage...
  4. Rwebangira

    Tunakoelekea sasa kunatisha...Ndoa za kulazimisha hizi mmh!

    Hapa roho ngumu ya wanaume iko wapi kwa yule aliyeua, ama kwa maneno yake ya kusema ameambiwa hawezi kuolewa akiwa na mtoto? Je wale wanaotupwa vyooni na njiani mwenye roho ngumu nani? Mungu amsamehe huyo nawe pia
  5. Rwebangira

    Mfumo jike una cost ndoa nyingi

    Jitahidi kusoma na kuelewa mada; haizungumzii kudumu ama kutodumu kwa ndoa bali mfumo jike. Mwombe Mungu akusamehe kwa mawazo uliyonayo ya ushoga na usagaji pole!
  6. Rwebangira

    Kwanini DADA zetu wengi vifua vyao vimechoka kabla umri wao.....na hawana watoto.......

    kawaida vifua vyao vinatakiwa vichoke katika umri gani? Unashangaa hilo mbona hushangai kuona binti wa miaka kumina nne sawa na dada wa miaka 35.
  7. Rwebangira

    Kama Wewe ni Mwanachama wa NSSF, PPF, PSPF... Soma Hapa!!!

    Hivi na hawa vigogo wanaoidhinisha mikopo hiyo na kushindwa kufuatilia marejesho na ni wanachama? au! au ndiyo maana wanaongezewa miaka ya kazi
  8. Rwebangira

    Ajali mbaya ya basi la NBS - Igunga

    Poleni sana watz wenzangu madereva kuweni makini kwani ajali za mwendokasi ni tofauti na zile za mwendo wa viwango, jueni kuwa kifo cha ajalini hakichagui dereva yahurumieni pia maisha yenu na familia zenu. Mwenyezi mungu awape ahueni ya kupona haraka majeruhi wote na pia awape marehemu wote...
  9. Rwebangira

    Nyerere: Salaam zenu mnaomkejeli!

    Daima mtu yeyote anayeshambuliwa na KIRUSI (VIRUS) cha ubinafsi hawezi kuielewa hoja yako ambayo kimsingi ni ya kweli na wazi na katika hali ya kawaida haikutakiwa utumie muda na nafasi kubwa kuyaeleza haya ila kwa kuwa tayari kirusi hiki kimeshika hatamu imekugharimu pole sana. Usichoke ni...
  10. Rwebangira

    Uharibifu katika mnara wa kumbkumbu ya mwl Nyerere mjini Dodoma.

    Katika hali ya kusikitisha mnara wa kumbukumbu ya Baba wa taifa Mwl Nyerere ulioko katikati ya mji wa Dodoma makao makuu ya nchi umeanza kuharibiwa kwa kubandua vigae(tiles). Tukielekea kusherehekea miaka 50 ya uhuru wa Tz ambao muasisi wake ni baba wa taifa wachache wameanza kuharibu mazingira...
  11. Rwebangira

    Watoto wa wakulima waanza kuvikimbia vyuo vikuu

    Tatizo wabongo tunachakachua hata visivyohitaji kuchakachuliwa, kitendo cha mtz kukosa elimu ambayo ni haki yake ni sawa na kumuua ni vyema tukajadili nini kifanyike ili wote wenye stahili hiyo waipate au tuanzishe vyuo vikuu vya kata.
  12. Rwebangira

    Nimechanganyikiwa, sikujua kama mwisho utakuwa hivi

    Pole sana, kuvumilia pasipokuwepo mipango thabiti ya utatuzi wa kile unachuvumilia ni sawa na kukalia moto ukidhani utazimika. nakushauri urudishe moyo wa mapenzi ndipo uombe ushauri kwani kusema mapenzi yameisha kabisa ni kwamba tayari jibu/maamuzi unayo. Taswira ya hayo ulikuwa nayo tangu...
  13. Rwebangira

    Nimechanganyikiwa, sikujua kama mwisho utakuwa hivi

    Pole sana, kuvumilia pasipokuwepo mipango thabiti ya utatuzi wa kile unachuvumilia ni sawa na kukalia moto ukidhani utazimika. nakushauri urudishe moyo wa mapenzi ndipo uombe ushauri kwani kusema mapenzi yameisha kabisa ni kwamba tayari jibu/maamuzi unayo. Taswira ya hayo ulikuwa nayo tangu...
  14. Rwebangira

    Kwa wakazi wa mwanza, dar na dodoma na wote wenye experience nisaidieni tafadhali....

    ninachokifahamu ni kuwa wengi wa wanaofanya biashara hii hawana muda ama hawajui kabisa matumizi ya mtandao huu hivyo ni vigumu kupata jibu haraka lakini kwakuwa umeomba msaada basi endelea kusubiri au ulikuwa unamaanisha nini zaidi?
  15. Rwebangira

    Vitu gani humpagawisha mwanaume/ mwanamke!!!!!

    nahisi yatakuwa ni mtazamo vinginevyo onyesha uzoefu wa hayo! mnh!! lakini inaweza kusaidia ingawa suala la kupenda kwa kuona ni tata mno kwani inategemea ni sehemu gani angependa kuona ili apagawe/apende.
  16. Rwebangira

    Star Times nao wameanza magumashi!

    Biashara ya kuiga itawaghalimu manake sasa wanaiga mtindo wa TING ili wapate cha juu, sukari imekuwa shida itakuwaje chanel za star mimi nawashauri watoe chanel kwa mtindo wa luk ili mtu anunue kadiri anavyoweza vinginevyo enzi za tv wakati wa Mwl zinzkuja.
  17. Rwebangira

    Natabiri kutokea kwa ajali kubwa ya Treni

    Kama kununua hizo treni mpya kuna maslahi binafsi basi kazi hiyo hata kama treni hizo ni mitumba (used) basi muda si mrefu zitaletwa ili baadae watu wafe na rambirambi zikusanywe, huku tukiunda tume kuchunguza chanzo cha ajali na kusahau tume ya kuchunguza manunuzi ya hivyo vibovu. Kalagabao wa tz.
  18. Rwebangira

    Raisi Kikwete umesoma hili bango uwanja wa ndege wa Kigoma ama ndio vip mpka ufe?

    Huko ndiko jamaa aliogopa wasimtarai akasema kusoma kulananiye kudya kwene ndabembeleza (kiha) wadogo zangu Zito na Kafulila wanaelewa
  19. Rwebangira

    Manji ajaribu kujisafisha Kashfa ya Kagoda; ajichongea!

    Tatizo si taarifa feki bali ni nani anazitoa na wapi, itikadi yake ni ipi, je amelenga nini na kumsaidia nani.
  20. Rwebangira

    Sakata la Jairo, kamati teule ya bunge si halali!

    Yote ni maigizo tu kwani kuwahoji watu wengi kwa mara moja na ukategemea kupata jibu sahihi ni ishara ya usanii fulani bora ambapo hakuwahoji labda anasubiri mwongozo ili iuundwe kamati nyingine na nguvu ya mlala hoi wa Tz iendelee kusomesha warithi wa nchii kwa mtindo wa kupokezana.
Back
Top Bottom