Jitu Jizi na Watz wengi wanamjua huyu bwana ati leo tena aongoze campaign watu werevu wa Arumeru? Kweli akili za vijana cku hizi zimeingiliwa na Mafisadi,endeleeni na ujinga wenu
..
MaximumMagambas at work,tatizo lenu nyie wana Magamba mnaiogopa Chadema pia mnamuogopa sana tena sana Dr WP Slaa na mjue imekula ndie tumtakae zaidi 2015
Yote haya ameyasababisha Jk mwenyewe kwa kuyabeba majizi ya rasilimali zetu,inauma sana kwa kweli jinsi wanavyotuibia pesa zetulakn huu mpango upo chini ya mkulu hili lipo wazi
Da kazi ipo,hapa Kigoma Vijijinitumepewa 135000 Shahada na 90000 kwa Stashahada na Cheti then wanatuambia eti mpaka Wiki lijalo ndio watatupatia kwa kweli hali ni mbaya sana,hela ya mizigo tumeambiwa eti hakuna yaani watumishi wa Halimashauri ni wezi wakubwa plus hii serikali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.