Thanx mtoa mada kutujuza yaliyojiri,vp nasikia shahidi wa Mh Buyogera aitwaye Joseph Hittler ambaye ni m/kiti wa nccr mageuzi amezimia mahakamani akitoa ushahidi?
Hakuna jipya mkutano wa makandarasi,acha wachina waendelee kuconstruct hata wakiharibu km kilwa road wanakubal kurekebisha.wakandarac wa bongo full corrupt kupata zabun wakishapata usanii mtupu.
Siamini kama anachosema ndio anamaanisha,ktk zama hz za polisi jamii kamishna wa operesheni
kutoa kauli kama hiyo ni kutokuwa na weledi na kwenda kinyume na philosophy ya bosi wake!
lowasa:Mh pm umetuangusha sana umeonekana bonge la kiazi kwa issue ya David?
Pinda:Mmmmmh,im inocent to that na ndo maana bunge limeunda kamati teule kama yako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.