Wadau kama nilivyoeleza mke wangu hapendi tendo la ndoa mimi nimepata solution fulani ya kufanya masterbation nijiridhishe ili ninapokutana nay basi namalizia tu nakuwa nimetosheka kiasi fulani
Pole sana kaka, mimi naona tatizo hapo ni kwamba unaangalia peke yako, inabidi utakpoona mdadad anavuta macho ya muambie mke wako naye aangalie, naamini baada ya muda hiyo tabia itaisha yenyewe, try it
Kaka sijapanga kuwa na mtoto sasa hivi kabisa, tulijaribu hiyo zamani lakini matokeo alipata mimba wakati ambao sio, naogopa sana hiyo natural familly plan,
Nashukuru sana dada, kwakweli nimepata a real constructive advice toka kwenu wanajamvi hili la Jamiiforum, naamini nitashuhudia somedays progress ntakazopata. cheers!!!
Wadau nashukuru sana kwa michango yenu ya halinamali kwakweli nimepata ufunguo wa kwanza,maoni mengi nimeyapokea hapa jamvini nami nachukua yale mazuri nayafanyia kazi nitawapa update baada ya wiki mbili zijazo, wasalam
Tunafanya kazi huko mjini na bahati nzuri tunatoka pamoja asubuhi na tunapitiana kurudi pamoja jioni ya kawaida, anafanya kazi nzuri tu tangu 8.00hadi 11.00 jioni, sio kama anachoka sana mana ni office work ambazo sio hectic kivile.
Kaka Tatizo sio wala chapaaa, nina turn over ya net 8.7mill kila mwezi ana gari yake ya kuzungukia hapa mjini na tunaishi huku tabata maisha sio magumu kivile, hiyo pesa inatutosha sana kwa matumizi ya kawaida
kwakweli sijui kama anafurahi kiasi anchofikiri yeye lakini nina uhakika namfurahisha kadiri niwezavyo,nampenda sana na sijawahi kufanya hii kitu nje ya ndoa yetu tangu tulipofunga ndoa miaka mitano iliyopita. tunapobahatika kufanya tendo kwakweli nampa mapenzi ya uhakika
Asante sana, nampenda sana mke wangu nimeinvest kuhakikisha nampa raha katika mapenzi, lakini ni goli moja tu basi anakuwa hoi hapendi kuendelea na pia, baada ya hilo goli ni wiki ama zaidi, na ni kwa mikiki, anakuwa na sababu kibao
Mara nyingi nikitaka kushiriki tendo la ndoa anakuwa na sababu nyingi, mara sijisikii,mara nausingizi, yaani kwa ujumla hapendelei kunipa ninapotaka kuwa naye,
nifanyeje sina ujanja natafuta namna nisiwe na feeling naye tuwe kaka na dadad tu basi.
Naomba ufafanuzi,
Nataka kufungua kampuni yenye status Not for Profit making Company,
Je ni kodi gani au makadirio gani ambayo itanibidi kuyalipa mbali na ada za usajili pale Brella?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.