Ndugu zangu watanzania mimi naona mijadala ya Lema na ZzK kiasi kwamba kila heading ya leo ni Lema na Zito nadhani ifike wakati muwe na mitazamo tofauti kuhusiana na ugomvi baina yao hawa ni viongozi kiuhalisia ni kama wote wamekiuka taratibu za chama hivyo tungewashauri warudi kwenye vikao vya...
hakuna gazeti la hovyo hovyo kama la tazama la jumannne sijaona habari iliyoandikwa ila maslai ya taifa,Mwigulu kuwa raisi huu ni kuudhalilisha urais gazeti mada zake nyingi ni za unafiki dhidi ya wapinzani maana hamna cha maana, zamani nilipokuwa nasoma gazeti hili kuhusu mambo ya dini na...
kweli huyu mzee ni jembe na amejibu maswali Kwa ufasaha kabisa. ndugu yet kule idhaa ya kiswahili hata audio hatujawekewa wakati alikuwa kwenye TV ila najua ni pumba tu alizoongea ndio maana tunaandikiwa tu porojo big up Dr. Wa Ukweli..
shame on you Kinana and Nape but take note that' Problems can not be solved by the same level of thinking that created them' you guys you're tired and this your fault.....!
Broo wewe tulia huyu anaenda kupiga misele tu hakuna cha kueneza chama wala msaada maana hata misaada ya nchi za magharibi ili upate lazima uonyeshwe ukuta na ukiushika ndio kushiney tena chadema ni zaidi ya waifikiriavyo hatukati tamaa uhuru upo..!
Lakini tuongee ukweli, kwani ni uongo cuf hawako kwenye mlengo wa kiliberali, maana waling'aka bungeni, kubalini yaishe mnakataa wakati ujumbe umefika..daah...!wenje... Rahaaaaaa......!
Yani siku mjinga ni mjinga tu. Umeandika nini tena...! Maana njombe naijua sana maana nimezaliwa huko. Na hali huko ni mbaya sana, watu ni masikini mno, wameporwa ardhi yao na mafisadi, mahospitalini shida tupu, umeme ndio kabisa mkoa mzima vijiji Sita ndio vina umeme,barabara chafu mno na mbaya...
Uhalisia wa jambo lilizungumziwa na Msigwa ni moja ya mambo ambayo Serikali inapaswa kama sio kuyachunguza au kuyafuatilia maana upuuzwaji wa mambo y'a msingi kuhusiana n'a Rasilimali za Tanzania ni tatizo lingine,Tusiwe washabiki wa vyama,Kama sisi kweli ni watanzania basi tuijali nchi...
Hakuna aliyefanikiwa kwa matusi. Ni laana unatafuta,sio dr.slaa peke yake anayeweza kukulaani, hata sisi wananchi tunaojua ukweli tukiguna tuuu...! Unalaaniwa Kama ulivyolaaniwa na Wabasi wako.maana hawajkufunda mjinga wewe..!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.