Wana jamvini!kwanza aslam alyekum. Mimi ni mmoja kati ya watu walioomba nafasi zile 40 za assistant customs officer.Kiukweli nilikuwa nategemena sana kuitwa kwenye interview mana nina vigezo vinavyohitajika.Juzi nilipoona hii thread kuwa tra wameshaita watu kwenye interview nilichanganyikiwa...
Wasalaam wandugu,
Natumaini mnaendelea vyema na ujenzi wa taifa letu. Leo nilikuwa naperuzi mada moja inayohusu BP kufunguliwa mashitaka na EWURA. Lakini nilipoona habari hiyo kukawa na jina la GRK Advocates kama mawakili wa EWURA.
Sasa nikaamua kuiperuza hiyo website ya hiyo advocate katika...
Haya wadau wale wenye kuhitaji kazi kwenye mifuko ya hifadhi za jamii ,kazi zimetoka SSRA.japo nimeshindwa kuifungua unaweza angalia kwenye website yao www.ssra.go.tz kisha ingia upande wa employment.Nawatakieni kila la kheri.
Hivi sasa niko kigoma mjini na matokeo ni kama ifuatavyo:
Kigoma mjini : Chadema wameongoza kwa kura 400, serukamba wa ccm kagoma kusaini matokeo so wameomba recount na sasa kura zinahesabiwa, zitto yupo hapa kuweka mambo sawa. Ila so far chadema imeongoza.
Kigoma kusini : Kafulila wa nccr...
Hivi sasa niko kigoma mjini na matokeo ni kama ifuatavyo:
Kigoma mjini : Chadema wameongoza kwa kura 400, serukamba wa ccm kagoma kusaini matokeo so wameomba recount na sasa kura zinahesabiwa, zitto yupo hapa kuweka mambo sawa. Ila so far chadema imeongoza.
Kigoma kusini : Kafulila wa...
Na kuchangaza , toka jk aingie madarakani, huyu mkuu alikuwa naibu waziri mpaka sasa. Na katika pita pita zangu sijaona popote penye kuonyesha kuwa chuo hichi kinatoa degree za online. Sasa nkuu huyu sijui alikuwa anasomaje , maana ana shughuli za kibunge na wizara, so sidhani kama anaweza...
WAKUU KWANZA POLENI NA MIHANGAIKO YA KILA SIKU YA MAISHA.
KATIKA PITAPITA ZANGU NIMEONA KUWA MH ABOOU AMBAYE NI NAIBU WAZIRI WA WIZARA YA USHIRIKIANO WA AFRICA MASHARIKI AMEPATA MASTERS YA PUBLIC ADMINISTRATION, SOURCE - Parliament of Tanzania. SASA MKUU HUYU ANASEMA KUWA AMEMALIZA COURSE...
WAWEZA KUZIPATA HAPA PIA http://www.competition.or.tz/fcc_files/public/re_advert_for_counterfeits_director.pdf
The Fair Competition Commission (FCC) invites applications from suitably
qualified Tanzanian candidates to fill the post identified below. Applicants who had
applied for the post...
kazi jamani, kwa kuwa me si mjanja wa kucopy kwa ufanisi, waweza kuzipata hapa http://www.lrct.or.tz/Job%20Advertisement.pdf
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
LAW REFORM COMMISSION OF TANZANIA
EMPLOYMENT OPPORTUNITIES
The Law Reform Commission of Tanzania invites applications from...
Hizi hapa nyingine kwa wanaotakakuwa ma CEO. UNAWEZA PIA KUZIPATA http://maji.go.tz/userfiles/ddca(1).pdf
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
MINISTRY OF WATER & IRRIGATION
EMPLOYMENT OPPORTUNITY
THE DRILLING AND DAM CONSTRUCTION AGENCY (DDCA)
1.0 Introduction
The Drilling and Dam...
Nimejaribu kuicopy ila sina utundu sana wa mambo haya ya mtandao, but u can view it hapa http://maji.go.tz/userfiles/Tangazo(2).pdf
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
MINISTRY OF WATER AND IRRIGATION
EMPLOYMENT OPPORTUNITIES
The Permanent Secretary, Ministry of Water and Irrigation invites...
mzee mwanakijiji inaonekana jamaa unamwelewa vizuri.kuna kitu nataka kuuliza.katika pita pita zangu katika hii thread nimeone watu wanamuhusisha na vodacom.Sasa kusema ukweli mimi sijaelewe kwanza -
Hiyo planetel ni nini?
Ni ya kina nani?
Na inafanya kazigani?
Na kuyu mteule wetu (noni )...
Kwa maeneo ya Dar es salaam mi ni mkazi wa sinza, ila kuna siku jamaa yangu mmoja anayeishi maeneo ya masaki alitaka tukutane nami nikaitikia wito wake.Tulipanga na tukakutana Dids bar iliyopo oysterbay opossite Jackies bar.
Bada ya kukaa kwa muda nilimwona anaingia mtu mmoja kwa jina la Ben...
Mzee mwanakijiji, naomba nipe darasa kidogo.japokuwa nafahamu kuwa there is the way huyu mkulu alifacilitate mpango wa EPA.But my question is how?Mana Nashindwa kuelewa jamaa aliitumiaje nafasi yake kuingia kwenye EPA japokuwa najua yumo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.