tatizo baadhi ya watu huku JF ni vinega, yaani wanadandia mada bila hata kujua...
Pole, me mwenyewe ishu kama hiyo ilishanikuta..nikajitolea mpaka hospitali ila hakukuwa na changes, so sikuwa na jinsi ikabidi tu nichukue maamuzi magumu..usitake kumfurahisha mtu mwingine wakati wewe hufurahi...
Mpe pole sana maana hata me nakereka sana mtu akiwa anatoa harufu mbaya hasa mdomoni.....mimi kwa ufahamu na ushuhuda, fanya hivi....
NUNUA MDALASINI PAMOJA NA ASALI....KISHA UWE UNAMPA MCHANGANYIKO WA ASALI NA MDALASINI KILA JIONI NA ASUBUHI (KIJIKO KIMOJA CHA MDALASINI NA VIWILI VYA ASALI...
Wanajamii me ni kijana wa miaka 29, tatizo langu ni kuwa na mashine ambayo kusema kweli ni kubwa...kila ninapokutana na mwanamke huwa naishia tu kugomewa. yaani mpaka nimeamua tu kuwa mtu wa sabuni, japo kitendo hiki sikipendi inanibidi nifanye tu hivyo ili kupunguza moto nilio nao. Tafadhali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.