Wakiambiwa rais hana nafasi ya kuonana nao kwasababu ratiba yake iko busy mpaka 2014 watafanya nini? Mimi naona hawa wanapoteza muda tu hapa. Inamaana cdm hawajui kuwa yale aliyokuwa anafanya spika na wabunge wa ccm bungeni ni maelekezo ya mkt wa chama chao ambaye ndiye rais wanayetaka kwenda...
Wananchi wakiamua wanaweza kusimamisha huu mchakato wote na hata kumuondoa rais ili asiusaaini mswada kuwa sheria. Wewe ni mnafiki mkubwa sana, na unafiki ni dhambi. ukweli ni kuwa wanachi walio wengi hawajafurahishwa na ubabe wa wabunge wa ccm na wake zao cuf na wanatafakari wafanye nini...
Habari ndio hiyo jamani, wale wapiganaji wa libya ambao walidharauliwa na kutukanwa na khadaffi wamefanikiwa kumtia mikononi mwao mtoto wa khadaffi, na wanampleka tripol kwa ajili ya kumshitaki.
Hapo bolded wengi ndio wanapatilia shaka, kwamba mheshimiwa huyu nidhamu ya uoga ameipata kutoka shule gani? Je mnyika naye kaenda lini shule hii ya nidhamu ya woga mpaka ameaminiwa kuwa apigiwe debe kuwa mkt wa cdm ili aondoe huu utaratibu wa maandamano, ambayo yanawanyima usingizi viongozi...
Na pata taabu ni saidie, kucompromise na ccm ndio maana yake uwe double agent? Kwa hiyo mnyika naye ni double agent ambaye ni makini kuliko zitto na umepewa kazi ya kumpigia debe, napata taabu kweli.
Kwa wale wanaopanga maandamano kuhusu katiba mpya, hamuoni kuwa hii ni fursa ya kuitumia kuanza kumpelekea mheshimiwa ujumbe, hata mkamsuburi hapo getini na mabango ya kupinga jinsi mchakato wa katiba unanyoendeshwa.
Kama kipaumbele chake ni kumuokoa jairo na sio hii dhoruba ya mswada wa katiba mpya ambayo inaweza ikamkumba hata na yeye akaondoka. Basi na sema huyu atakuwa rais wa ajabu kabisa duniani.
Ndugu yangu mbona unataka kuwaingiza waTz kwenye janga kubwa kabisa, huu ushauri wako ni wakipuuzi kabisa. Halafu unawachonganisha polisi na raia kwa nini? Mimi ni wale wanaoamini kuwa polisi wanatumwa tu kutekeleza mpango mkakati ambao umepangwa na wanamkakati kama wewe. Sasa nataka polisi na...
Kuna pahala nilisoma kuwa mapinduzi yenu yalifanywa na kuongozwa jamaa kutoka uganda ila kwa uerevu wa Nyerere ndio akahakikisha karume anawatawala, isingekuwa mwalimu rais wenu wa kwanza angekua mganda, sasa jiulize mwenyewe mnafiki nani hapa? Na Nyerere kwa kumtumia karume huyohuyo akakutawaleni.
Mtangazaji anawauliza maswali elekezi na wao wanajibu yale waliokesha wakikariri jana usiku. Kali kuliko yote olesendeka kahitimisha kwa kuwaomba cdm warudi mjengoni wasiende kuwashitaki wabunge kwa wananchi. CDM wakijidnganya waka kubaliana na ushauri huu watakuwa wameliwa, tena kuliwa masaburi...
Mchakato wa kuvunja muungano ndio umesha anza hivyo, kwani wewe huoni au unataka mpaka uambiwe kua muungano utavunjika. Labda nikurahisishie kwa kusema hivi, jinsi ccm na cuf wanavyoendesha mambo yao ndio wanaupeleka muungano kaburini na mpaka sasa wamesha ufikisha icu.
Tena ndoa waliyoingia this time ni ya kikristu, ni mpaka kifo kitakapo watenganisha. Bahati mme wao ccm afya ni dhoofu li hali labda atakufa karibuni ili ndoa hii ifikie mwisho.
Ndg yangu wa kujilaumu ni sisi wenyewe kwa kutokushinikiza ajiuzulu au rais amuondoe, hapa ndipo tulipo kosea. Lakini bado katupa fursa nyingine ya kulifanya hilo labda sasa turudie makosa.
Muhimu ni vipi mtu anavyo weza kutafsiri maana ya neno maandamano hasa katika kizazi hiki cha sanyansi na teknologia. Na amini hawajawahi kuachiwa peke yao na wala haitatokea kuaachiwa wandamane peke yao kwani mara zote wanakuwa na viongozi wao.
Inaonyesha watu tuna matatizo ya kusahau, kikao cha kwanza cha bunge hili la kumi cdm walisusia hotuba ya rais na wakabezwa sana lakini ile ilisaidia kupeleka ujumbe kwa watawala wetu. Hii waliofanya leo itawapelekea ujumbe watawala wetu hilo halina ubishi. Ni seme hivi ikitokea machafuko hapa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.