PF3 inakuwaje na thamani kuliko uhai wa mtu????! Huo ni upumbavu usiohitaji muwekezaji kung'amua...
Nimewahi kupata ajali ambayo pia ilihitajika PF3 kabla sijatibiwa. Pona yqngu ilikuwa tu kwa sababu kati ya walionipeleka hospital unconcious ni afisa kiaina, nikatibiwa na PF3 ndo ikafuata ila...
Jamani wana JF, tujaribu kung'amua hili...
Hivi mgogoro unaoendelea Taasisi ya ustawi wa Jamii ni wa kisiasa? Na je, Wizara na top Oficials wengine (hadi JK) wanafahamu nini hasa chimbuko la mgogoro huo na tiba zake....?
Ukubwa wake ni kutokana na udogo wako.... Mapumba ni kutokana na kula sana mahindi ya kuchoma, mara nyingi ukiangalia vizuri utakuta kuwa pumba hizo ni za mahindi. Mpunga ni kidogo sana cozi chuya huwa ni chache sana kwenye wali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.