Search results

  1. B

    Tunauza kinywaji cha DRAGON (energy drink) kwa bei ya jumla

    habari.. tunauza kinywaji cha dragon (energy drink) kwa bei ya jumla tsh 37000 per caton (24 pic) 500ml call 0714 9616 61 or 0756 090 222 dar es salaam
  2. B

    Natafuta BODY YA DEEP FREEZER yenye urefu wa Futi 6 hadi 8

    Habari zenu waungwana, kama kichwa cha habari kilivyojitosheleza natafuta body ya deep freezer ya aina yeyote ile yenye urefu wa futi 6 hadi 8. Mwenye nalo naomba ani pm. Liwe ndani ya eneo la dsm.
  3. B

    Smart collection (perfumed deodarant spray) zinauzwa kwa jumla

    izo mkuu hatuna ...karibu sana kwa aina nyingine za smart collection
  4. B

    Smart collection (perfumed deodarant spray) zinauzwa kwa jumla

    Habari Jf, Tunauza Deodarant spray kwa bei ya jumla, bei Tsh 3500 kwa pic1..tunauza kuanzia pic 40 nakuendelea na unaletewa hadi ulipo kwa Dar es Salaam. Call : 0718 446935
  5. B

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Mimi nipo morogoro -mikese secondary nahitaji kuhamia dar wilaya ya kinondon.. Tutafutane kwa no; 0753617960 au 0754642242
  6. B

    Natafuta starlet/nissan march kwa four millions.

    mkuu mi sio mwenye gari ila nmewiwa kusaidia pia kuna tangazo nlona zoomtz jamaa ana nissan march 1999 AWC kwa mil 4.2mil..km 131000 no zke.. +255 715 859 321 dsm..then kuna wa dodoma nissan march milango 3 bei 3.2mil no zke +255 713 176 622 imetembea km 150000 AZD. Kuna nyingine ya 2002...
  7. B

    pimped starlet reflet inauzwa 6,100,000

    mkuu bribaki..,mi ikifika 3.5 MIL nishtue npo serious
  8. B

    Tablet for sale

    mkuu shark nmekupata,lakini upo chini kiukwel
  9. B

    Tablet for sale

    umeeleweka mkuu,shukran kwa mchango wako
  10. B

    Tablet for sale

    Habari ndg JF Ninauza tablet yangu nimeitumia mwezi mmoja tu toka iliponunuliwa nI ZTE TABLET bei yake ni 380,000 (laki tatu na themanini). DSM serious buyer call 0717 163106 SPECIFICATION ZAKE Nertwork : 2G & 3G Sim card : YES either TIGO,VODACOM,ZANTEL,ZAIN etc Body weight : 403 g...
  11. B

    Tablet for sale

    Habari ndg JF Ninauza tablet yangu nimeitumia mwezi mmoja tu toka iliponunuliwa nI ZTE TABLET bei yake ni 380,000 (laki tatu na themanini). serious buyer call 0717 163106 SPECIFICATION ZAKE Nertwork : 2G & 3G Sim card : YES either TIGO,VODACOM,ZANTEL,ZAIN etc Body weight : 403...
  12. B

    SPECIAL THREAD : Njoo tupunguze uzito wa mwili pamoja

    mkuu kbm karibu sana...tuambie utatumia njia gan za kupunguza huo uzito ili u bance mwili wko
  13. B

    SPECIAL THREAD : Njoo tupunguze uzito wa mwili pamoja

    mkuu Albosignathus nazan kwa sasa haitaji place .,zaid n kupeana ile feedbak ya nn tunakifanya...mfano mimi binafsi leo na jana kwa asubuh nlkunywa chai na vpande viwili yya brown bread,mchana nkala maembe mawili na ndizi moja na jioni nkarudia kama mchana. hapa inaweza ikatoa waswas ya kwamba...
  14. B

    SPECIAL THREAD : Njoo tupunguze uzito wa mwili pamoja

    Habari wana JF... dhumuni hasa ni kupata kampan kwa ajili ya kupunguza uzito pamoja..natumaini kwa wale wenye uhitaji basi tutaweza kulitatua hili tatizo. njoo tujumuike 1-tujue ni vyakula gani tuweze kutumia kwa ajili ya kupunguza mwili 2-tujue ni matunda gani yanafaa zaidi mf...
  15. B

    Nauza UYOGA (oyster mushroom)

    mkuu hii kitu n nzuri sana..nilishawahi kuila n tamu zaidi ya nyama... na nilipata kusikia kuwa inatibu vitu vingi sana katika mwili wa mwanadamu.. watanzania waamke waanze kutumia chakula bora kwa ajili ya afya zao.,wenzetu weupe n walaji sana wa hii kitu maana huelewa manufaa yake.,hata...
  16. B

    Ushauri wa kibiashara,mtaji wa tsh. Million 30

    Nashukuru sana wana JF kwa mawazo yenu mlionipatia kipindi cha miezi ya nyuma,nami niliyachukua na kuyaweza kuyafanyia kazi kwa kufanya tafiti mbalimbali,kusema ukweli nimegundua mengi sana kwenye ulimwengu wa biashara.,nimejaribu kusafiri sehemu mbalimbali zisizozidi kumi kwa ajili kufanya...
  17. B

    Ushauri wa kibiashara,mtaji wa tsh. Million 30

    ndio mkuu,mpangala yupo kwa ajili ya kutoa ujumbe kwa jamii na kuifundisha pia. Wazo ni la muhimu kwanza ndo mana nipo hapa JF kuomba mawazo mbalimbali,nashukuru mkuu kwa kuendelea kutufungua.
  18. B

    Ushauri wa kibiashara,mtaji wa tsh. Million 30

    mkuu,najua kinachotangulia ni wazo la biashara,hapa nataka nieleweke kuwa kuwashirikisha watu kunaweza kuleta mabadiliko. Naamini kabisa mawazo mbalimbali kutoka kwa watu tofauti inaweza ikawa ni mwanzo wa wazo bora zaidi na lenye tija.
  19. B

    Mtu mwenye mtaji wa kiasi cha milioni 30 hawezi kujiari mwenyewe??

    Ni maamuzi mazuri na kamwe hawezi kujutia. tatizo la watanzania wengi hawapendi kujaribu.,bado wanayo dhana kichwan kwao za kutaka kuendelea kuajiriwa,wakati bado kuna opportunity nyingi sana huku mtaan. tafadhali kwa ushauri zaidi nenda jukwaa la Bussines pale kuna thread moja nimeitoa...
  20. B

    Ushauri wa kibiashara,mtaji wa tsh. Million 30

    shukurani mkuu...nitarudi tena kutoa feedback ya kile nlichokipata ili iwe chachu kwa vijana wenzangu wenye mtazamo kama wangu...inshallah.!!
Back
Top Bottom