Search results

  1. M

    Karatu shwari Chadema imefunika!

    Policcm hawakuleta madhara ya kitu kizito chenye ncha kali kweli??????
  2. M

    Usia wangu kwa Zitto na washirika wake

    hama hakika ZZK Hafai ata kua mwenyekiti wa makanyaboa
  3. M

    Zitto awasilisha hoja binafsi juu ya walioficha fedha Uswiss

    Wakuu mbona mimi nitaka ku paly hio audio inaniambia file not found nifanyeje wakuu??
  4. M

    Zitto, Habibu Mchange hana sifa za Kukunadi

    weel said yule Zitto ni wakala wa chama cha mabwepande
  5. M

    Economical/Business/Investments activities za Lowassa ni zipi?

    Kila anaejaribu kumusafisha EL ajue anamasafisha kwa maji taka. EL kachafuka munoooooo to the extent that anaejaribu kumsafisha anazidi kumchafua bora wakae kimya kidogo atmosphere inaweza kutulia huwezi kusafisha mtu kwa maji taka ukategemea atasafishika
  6. M

    CHADEMA haitakufa kwa uroho wa kugombea uongozi...

    kweli ajipange upya ili aendelee kula posho za Nape
  7. M

    Familia ya Nd.Ally aliye uwawa na polisi kwa kupigwa risasi yaingia kwenye mvutano na Chadema

    We ni mpumbavu kweli sijawahi ona yani unatumika bila hata kujua??? Nape siku hizi kasitisha halipi tena acha ujinga kilaza wewe
  8. M

    Dokta Slaa aitisha Press Conference Iringa!

    Tunangoja updates mkuu
  9. M

    Polisi: Marehemu Ally Zona aligongwa na kitu kizito na sio Risasi

    Masaburi anatisha anastahili udaktari wa heshma aligundua principle muhimu tena hii nadhan ni natural principle. Nimeamini kuna watu wanafikir kwakutumia ................................
  10. M

    Vyama vya Siasa na Matawi ya Ughaibuni

    Umemenena Mwali wangu aiseeeeeeeeeeeee big up
  11. M

    Msaada wana Janmv

    wana Janmv naomba msaada namna ya kusikiliza radio kwenye net nime download na kuinstall radio rage lakini nashindwa kusikiliza local radios online chanels zinakuja lakini uki click play hamna kinacho endelea Naomba mwenye utalam huo anisadie Shukurani
  12. M

    Maelezo binafsi ya Mhe. Zitto Zuberi Kabwe dhidi ya tuhuma za rushwa kwa Umma

    What goes around comes around huyu Zitto ndio Kinara wa kutumia wandishi wa habari uchwara kwa manufa yake na siasa zake za kubato wanajamnv kwa wale wanaomfuatilia sana zitto wanakumbuka vizuri lile sakata la kutumia waandishi wa habari wa mwananchi ili kudhofisha Chadema tena alikua anatoa...
  13. M

    Zitto ajieleza mbele ya Sekretariat ya CHADEMA kwa masaa 3, kukutana na vyombo vya habari

    Tukubali tukatae zitto anatumika ku distabilise Chadema kumbuka wakati wa kampeini kule Arumeru watu wako kwenye battle field dakika za lalasalama nakumbuka zilikua zimebaki siku mbili tuu anaibuka na hoja ya kugombea uraisi ili ahamishe ajenda kuu ya kampeini thank God kwa busara ya Dr. Slaa...
  14. M

    Zitto ajieleza mbele ya Sekretariat ya CHADEMA kwa masaa 3, kukutana na vyombo vya habari

    yameaanza kutimia maana Zitto ni ndumilakuwili. What goes around comes around
  15. M

    Anayependa Tuinjoi Pamoja, Wadada tu

    fataki dogi hilooooooooooooooooooooooo kaeni chonjo
  16. M

    college gal for kampani during likizo ya july

    acha upuuzi wewe ina mana mitaani kwenu umekosa wakupiga nao story na kwanini wawe wa mabibo tuuu kama huna hidden agenda wewe ni fataki mkubwa nenda zako hawadanganyiki!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
  17. M

    Natafuta mchumba alie committed

    Thanks for your good advice though God helps those who help themselves
  18. M

    Natafuta mchumba alie committed

    Natafuta mchumba wa kuoa aliye committed and ready to be married Sifa awe medium size, mweupe na elimu ya first degree atleast nipo morogoro aliye tayari ani pm au tuwasiliane kwenye email marko7us@gmail.com. umri wake uwe between 21 - 27 years.
  19. M

    External webcam

    Wakku naomba kunijuza bei ya external webcam maana laptop yangu haina in built webcam. Nitashkur kwa msaada wenu wakuu
Back
Top Bottom