Kila anaejaribu kumusafisha EL ajue anamasafisha kwa maji taka. EL kachafuka munoooooo to the extent that anaejaribu kumsafisha anazidi kumchafua bora wakae kimya kidogo atmosphere inaweza kutulia huwezi kusafisha mtu kwa maji taka ukategemea atasafishika
Masaburi anatisha anastahili udaktari wa heshma aligundua principle muhimu tena hii nadhan ni natural principle. Nimeamini kuna watu wanafikir kwakutumia ................................
wana Janmv naomba msaada namna ya kusikiliza radio kwenye net nime download na kuinstall radio rage lakini nashindwa kusikiliza local radios online chanels zinakuja lakini uki click play hamna kinacho endelea
Naomba mwenye utalam huo anisadie
Shukurani
What goes around comes around huyu Zitto ndio Kinara wa kutumia wandishi wa habari uchwara kwa manufa yake na siasa zake za kubato wanajamnv kwa wale wanaomfuatilia sana zitto wanakumbuka vizuri lile sakata la kutumia waandishi wa habari wa mwananchi ili kudhofisha Chadema tena alikua anatoa...
Tukubali tukatae zitto anatumika ku distabilise Chadema kumbuka wakati wa kampeini kule Arumeru watu wako kwenye battle field dakika za lalasalama nakumbuka zilikua zimebaki siku mbili tuu anaibuka na hoja ya kugombea uraisi ili ahamishe ajenda kuu ya kampeini thank God kwa busara ya Dr. Slaa...
acha upuuzi wewe ina mana mitaani kwenu umekosa wakupiga nao story na kwanini wawe wa mabibo tuuu kama huna hidden agenda wewe ni fataki mkubwa nenda zako hawadanganyiki!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Natafuta mchumba wa kuoa aliye committed and ready to be married
Sifa awe medium size, mweupe na elimu ya first degree atleast nipo morogoro aliye tayari ani pm au tuwasiliane kwenye email marko7us@gmail.com. umri wake uwe between 21 - 27 years.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.