mwanzoni kilichokuwa kinasikika sana kwenye madai ya migomo yao ilikuwa ni mishahara kupanda na allawances sasa hv mambo yamekuwa magum mumeanza kuhusisha na matatizo ya wananchi ili mpate saport hamna lolote msemo wa mhe.pinda acha liwalo na liwe
Namshauri mheshimiwa Ester bulayi ahamie chadema ili achukue jimbo kwani kwa sasa ndo kipenzi cha wananchi wa jimbo la Bunda ukilinganisha na wale wote wanao onyesha nia kgombea jimbo hilo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.