Binafsi niliamshwa kwa dawa ya mganga,
Ndio nikazinduka toka Gizani, shimoni, vifungoni.
Nilipoanza kuendelea kujiweka sawa zaidi,
Kupitia njia za waganga, ikashindikana.
Nikaanza kufatilia kanuni za kuishi Kiuokovu,
Now namshukuru Mungu.
Imeandikwa USIZINI
Unapoenda kinyume Mungu huwaacha wote na kuanza kufanyiana huo unyama.
Zaidi She atamlaumu bure he kumbe tayari Shetani keshachukua utawala wa fahamu zake.
Kongole kubwa kwenu,
Kuanzia mida ya saa 3 za usiku, wakati familia zimetulia nyumbani.
Vipindi vyenu ni Bora kwa watu wote.
Wakati channel zingine zikiwa busy na nyimbo zenye matusi na kuvaa uchi uchi, nyie mpo makini kutupatia kilicho bora.
Hongereni sana.
Baada ya maanguko mengi sana kwenye maisha,
Nikajagundua Adui namba moja wa mtu ni mtu mwenyewe, na mkombozi wa mtu ni mtu mwenyewe.
Na pia nilizunguka kwa waganga mbalimbali, mikoa tofauti nikagundua wapo wanaoweza kupata kupitia waganga,
Na wapo ambao uganga hauwaingii hata kidogo,
ILA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.