Search results

  1. Ziltan

    Ficha mambo haya, kisha njoo unishukuru

    Vizuri, ila siri hizi wazipata wapi,
  2. Ziltan

    Miriam Migomba aacha kazi TBC

    Kila laheri Mama.
  3. Ziltan

    Je Umewahi Kupatwa Na Hali Hii Au Unapitia Kwenye Hali Hii?

    Umepiga kwenye mshono, Hiyo hali sikia tu,
  4. Ziltan

    Hongera star TV kwa vipindi Bora

    Kongole kubwa kwenu, Kuanzia mida ya saa 3 za usiku, wakati familia zimetulia nyumbani. Vipindi vyenu ni Bora kwa watu wote. Wakati channel zingine zikiwa busy na nyimbo zenye matusi na kuvaa uchi uchi, nyie mpo makini kutupatia kilicho bora. Hongereni sana.
  5. Ziltan

    If somebody is treating you like you're nothing become nothing by leaving. Leave!

    Inategemeana, Kama ni taasisi binafsi, sawa. Ila serikalini hapo kitaeleweka asbh tu.
  6. Ziltan

    Kwa imani ya kitanzania: Bila kuroga roga mafanikio utayasikia na utajikuta unasindikiza wenzako?

    Baada ya maanguko mengi sana kwenye maisha, Nikajagundua Adui namba moja wa mtu ni mtu mwenyewe, na mkombozi wa mtu ni mtu mwenyewe. Na pia nilizunguka kwa waganga mbalimbali, mikoa tofauti nikagundua wapo wanaoweza kupata kupitia waganga, Na wapo ambao uganga hauwaingii hata kidogo, ILA...
  7. Ziltan

    Je, Kuna sababu ya lazima kwa mwanaume uliyezaa na mchepuko kuchukua huyo mtoto kumleta kwa Mke?

    Ni mwanaume mpumbavu tu huweza kufanya hivyo. Na mwisho wake ni maumivu makali kwake.
  8. Ziltan

    Laana ya kuwasaliti mababu zetu na mila zetu nzuri imetupa ufukara kama taifa

    Hili ni neno haswa, Wachache ndio wataelewa.
  9. Ziltan

    Je, naweza kutumia fungu la kumi kwa kununua mahitaji ya watoto yatima?

    Matajiri wote duniani ambao ndio wameshikiria 90% ya fedha zote wakitoa Hiyo zaka 10% kwenye makanisa yao, itakuwaje , Je wao hubarikiwaje?
  10. Ziltan

    Serikali kama Elimu Bure imeshindikana semeni wazazi tuendeleee kulipa ada ya shule kama zamani

    Ww Headteacher sijui H/M Sema unataka Posho, Sio blah blah zako hizo, Ww huoni Vurugu zilizopo Huko Duniani, Unazani upo salama ee!!?? Shukuru hata kwa hali tu iliyopo Nchini kwako,
Back
Top Bottom