TFF,FA MIKOA NA NMB MNATUPELEKA WAPI?
Habari zenu ndugu wasomaji. Leo ninamaswali machache na hoja kadhaa ambazo nahitaji majibu toka kwa TFF, FA MIKOA naBenki ya NMB kama wadau wakubwa wa Soka hapanchini.
Naamini kila mtu anakumbuka kozi za Walimuwa Soka zilizokuwa zinafanyika hapa nchini...
NI KWELI SERIKALI YETU INASAIDIA KUKUZA SOKA? Habari zenu wasomaji wangu popote pale mlipo lisomwapo jarida hili mahiri la mpira wa miguu Tanzania,leo nimekuja na mada kuu moja iliyopo mezani je umewahi kujiuliza swali dogo lakini la msingi kama hili eti jamani ni kweli serikali yetu inasaidia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.