Nimeomba mkopo ila control number inaleta 50000 na natakiwa kulipa 30000.
kilipa fedha inarudi… nimeenda mpaka bodi ya mikopo wanasema it wao ndo bado hajafanyia kazi na siku zimebaki mbili.
Kuna aliyepata changamoto kama hii na ametokaje dakika za lala salama hizi?
Mimi mpaka leo control number inaleta mauza uza… nimeenda mpaka bodi ya mikopo bado hawajanikwamua
Control number inaleta amount ya 50000 badala ya 30000 na ukilipa 30000 fedha inarudi
Kwa nini mteja analipia nguzo... anakaa miezi mpaka mitatu anasuburi nguzo tuu?? Ina maana hamjajipanga au ni uwezo hamna wa kuhudumia wateja wengi kwa pamoja??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.