Search results

  1. patience96

    Angalia Picha Hii Kwa Makini Kisha Elezea kama ni Murder au Suicide

    Fafanua hapo kwenye red. Je alipigwa au kajipiga? Yapo mambo mengi ya kuangalia katika crime scene hii. Position ya miwani, barua, ashtray, taa ya kusomea, kalamu, blood splatter, slipper, ganda la risasi, mlalo wa marehemu ... Kwanini taa imechomolewa katika socket wakati nje kuna giza...
  2. patience96

    Historia ya Lucifer

    Wengi tunakushangaa hapa jukwaani. Umeleta madude kibao ambayo hayana hata reference.
  3. patience96

    Historia ya Lucifer

    Bora wewe umesema.
  4. patience96

    Mzee kaniambia niende likizo akaniambie siri

    Utatujuza ili iweje? Acha utoto, ebo!
  5. patience96

    TANESCO wanataka ninunue transformer

    Maelezo ya mleta uzi yana walakini. Eti aliambiwa kwa mdomo. Hakuna ushahidi wa kutosha wa kuweza kuthibitisha maelezo ya huyu mleta uzi. Kimashine cha kusaga/kukoboa kinahitahitaji kweli kufungiwa transformer? Je Load ya hizo mashine ikoje? Ukiacha transformer bado kuna issue ya ujenzi wa line...
  6. patience96

    TANESCO wanataka ninunue transformer

    Na hiyo nguzo ikioza inabidi ununue nyingine tena?
  7. patience96

    Hakuna namna unaweza kufanya ili usigongewe mke

    Lengo hasa la kuandika uzi huu ni nini?
  8. patience96

    Pamoja na Unaosemwa Udikteta wa Magufuli Kipanya hakuwahi kutishwa

    Mkuu, kwani udikteta una definition gani?
  9. patience96

    JF Photo Library: Mada maalum ya Picha za Zamani

    RIP Kenneth Kaunda!
Back
Top Bottom