Katika hatua nyingine, Wazee wa Chadema visiwani Zanzibar wamemtaka Mwenyekiti wa Chama hicho, Feeman Mbowe achukue fomu ya kutetea wadhifa huo.
Akizungumza na waandishi wa Habari visiwani hapa, Mwenyekiti wa Wazee hao wa Mjini Magharibi, Idrissa Jumbe, alisema wanachama wa mikoa mitatu...
Kupitia star tv taarifa saa mbili wamemuonyesha jamaa mmoja anaitwa Erenest sheshe kwamba alikuwa m/kiti wa CDM arumeru magharibu na amejuzuru nafasi za uongozi na kujiunga na act.
Cha kushangaza kuna kadi alikuwa ameweka mfukoni kama 7 hivi alipofika mezani akazitoa. ukiziangalia zile kadi...
Mleta mada na unayemuwakilisha jiulizeni mara ya mwisho mliugua lini kichaa cha mbwa? Hivi kweli hii mipira ya kiume iliyotumika na kutupwa eti inajiita WAPINZANI? mwanaume uliyekamilika lazima unasimama mwenyewe sio unakuwa kama nzi anayefuata kinyesi. hivi akili zenu nyie magamba B mmempa...
Kwa ufupi
Alisema baada ya kupata taarifa hiyo, alikwenda karibu na hoteli hiyo kuchunguza ukweli wa jambo hilo na kabla ya kuingia ndani alimwona mtuhumiwa akiwa na mtu mwingine ambaye hakumtambua akishuka kutoka kwenye gari.
Dodoma
Mkutano wa maridhiano uliokuwa umepagwa kufanyika jana mjini...
Mbunge wa Kigoma Kaskazini (Chadema), Zitto Kabwe, amesema atajiunga na chama kipya cha siasa.
Hata hivyo, amesema uamuzi wa kuanzisha chama chake kipya cha siasa utasubiri kwanza uamuzi utakatolewa na mahakama katika kesi yake iliyopo mahakamani inayohusiana na uanachama wake ndani ya Chama...
Acha uvivu wa kufikiri. watanzania wengi wanajidai ni wajuaji sana lakini hawajui chochote zaidi ya bla bla nyingi. na ndio maana mtu anamaliza chuo hajawahi hata kujitolea ili apate uzoefu anataka awe manager,mkurugenzi wa kamapuni. Tatizo la hii nchi kwamba sheria na kanuni hazifuatwi watu...
Katika nchi yoyote duniani ili iendelee lazima sheria zifuatwe na kutekelezwa bila kujali ni nani amezivunja. Lakini kwa Tanzania pamoja na vyama vya siasa imekuwa tofauti. mambo yamekuwa tofauti na umejengeka utamaduni wa kishenzi wa kuoneana haya.
na ndio maana mimi nasema siku ikitokea...
Hao watarudi na kupiga magoti wakiomba wasamehewe kwa sababu wanafuata mkumbo. hivi mwanaume uliyekamilika unakuwaje kama nzi unamfuata mwanaume mwenzako nyuma kama vile umempa akili zako akutunzie? kama wameahidiwa pesa WATAPEWA ZA BANDIA NA KUPANGIWA KAZI CHAFU NA OVU KAMA WALE JAMAA WA...
Hivi ccm mara ya mwisho mmefanya lini uchaguzi wa mwenyekiti wa ccm taifa?
Mbona nyie ccm ni watu wa ajabu sana,mara sijui cdm kimekufa lakini kila siku mnahangaika na viongozi wake.kwa nini mnahangaika na maiti? mbona sijawahi kuona umepost uzi unaozungumzia ufisadi na wizi uliokithili nchini?
Mara ya mwisho kuugua kichaa cha mbwa ilikuwa lini? mbona unajitahidi unachangia peke yako? kwani kinachofanyika dodoma sasa hivi ni nini au wanatunga kanuni za uvcccm?
Hatua ya Rais Mstaafu, Benjamin Mkapa, kujiweka kando kuzungumzia suala la mchakato wa Katiba Mpya na mwenendo wa Bunge Maalum la Katiba, imeibua maoni tofauti ya wananchi huku baadhi wakisema anakosea na wengine wakimtetea kwa maelezo kuwa uamuzi huo ni matokeo ya busara ya hali ya juu...
HATUA ya Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kwenda kuhani msiba wa mtoto wa Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Kitwanga ‘Mawe Matatu', bila kufika hospitalini Bugando kumjulia hali askari aliyejeruhiwa vibaya wakati akipima ajali iliyosababisha kifo hicho, imewakera askari polisi...
Kwa hiyo kitendo cha pinda kuruhusu watanzania wanaodai haki zao wapigwe eti kwa sababu amechoka ni kitendo cha uzarendo? alikataa uteuzi au ndio sitaki nataka? kwani kuna mtu aliyemlzimisha kuwa waziri mkuu?
Hivi ccm hamuwezi kutofautisha kati ya watoto na vijana ? hawa ndio huwa mnawabebesha siraha. hivi haki za binadamu mko wapi?
Hivi SOKOINE alikuwa anajihusisha na ugaidi ambao mwigulu amekuwa akitajwa na watu mbalimbali kwa kutunga kesi za ugaidi kwa upinzani?
watanzania mkome kumdhalilisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.