Sishangai kwani maneno hayo yote hutokea kama hali ya kukata tamaa au majuto nafsini mwa mtu au watu. Si vibaya kusema heri kufa kwa risasi kuliko kufa kwa kunyongwa japo vyote ni vifo tu. Wanaosema heri ya mkapa wako sahihi kwani unapolinganisha watu wawili lazima ataonekana mmoja bora kuliko...
"mchakato, tuko mbioni, kamati, tunasubiri majibu ya tume" n.k. Yamekuwa ni maneno ambayo yamekuwa ni kikwazo kwa juhudi za maendeleo kwa wananchi. Nakubaliana na wewe bwana koo kwani michakato isiyo na specification of time na mikakati madhubuti ya utekelezaji ni kama ubabaishaji ulio dhahiri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.