Swala la maji ni changamoto kubwa Sana kwa maeneo mengi Sana hata km eneo limezungukwa na Vyanzo vya maji....mfn Jiji la mwanza maeneo mengi nje ya Mji hayana maji hata km changamoto ni Milima lkn, Swala la maji limekuwa mtihani Sana kwa wizara ya Maji.. ni aibu Sana Wakazi wa Mwanza hasa...
Yeye alihaidi kuisimamia Serikali Sasa kama Serikali wao wameshindwa kutatua Hilo tatizo la Barabara miaka nenda Rudi, yeye kama MB atoe pesa zake mfukoni ..?
No ....Rorya mpeni Kijana Muda afanye kazi kadri Serikali inavyompa sapoti.
Kuna Single Mama Moja kampeleka Bwana ake ustawi wa jamii kwenda kudai matunzo ya mtoto, so baada ya kuitwa Jamaa ustawi wa jamii, jamaa kafika na mazoea yakaanza na wale Wadada wa ustawi wa jamii mwisho wa siku Jamaa akamchapa mdada Moja Mimba pale Ustawi wa Jamii....
Hivi Hawa viongozi wa CCM ndo kusema wamefeli kabisa kumalizia tatizo la Umeme apa nchini.
Nashindwa kuelewa apo awali tuliambiwa ukosefu wa Mvua ndo chanzo Cha Umeme kukosekana nchini aya Sasa Mwenyezi Mungu mwingi wa Rehema akatukalia Mvua ktk pande zote za nchi lkn Bado tatizo la Umeme liko...
Mama nikuambie Kitu tunza risiti zako zote ulizokuwa unafanya manunuzi kipindi unafanya ujenzi wa nyumba Yako, na rekodi yote ya Mikopo ya Mabenki kwa ajili ya ujenzi, kuandikwa kwa jina la mmmeo kwenye Kiwanja siyo tija
Utakuja kunishukuru baadaye
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.